Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,864
- 5,697
Tupo katika wakati mgumu kama taifa kwa sasa hususani kuhusu uzalendo. Japo sio mwana CCM kwa sasa lakini kuna jambo la kujifunza kwa M.W.L JK. Nyerere.
Wakati Rais mstaafu wa Zambia Dr. Kaunda alipo wekwa remanded Rais mpya wa Zambia Frederick Chiluba.
Jumuhiya kimataifa zilimpa jukumu rais mstaafu wa Tanzania Mwl. NYERERE kutatua mgogoro huo.
Nyerere alienda kuonana na Rais Chiluba na kumshawishi amuachie Kaunda na kama kuna ishu basi Kaunda awekwe kizuizini nyumbani kwake atolewe gerezani juhudi zikiwa zinafanyiaka kutatua mgogoro.
Baada ya mazungumzo na Chiluba Nyerere aliomba kupelekwa gerezani kumuona Kaunda.
Alipo kutana na Kaunda waliongea mambo mengi na akamshawishi ale chakula kwa kuwa wamesha ongea na Chiluba. Kaunda akakataa kula akidai ili ale lazima aambiwe kwa nini yupo gerezani kwani anaona hana hatia.
Nyerere akamwambia kama hatakula hata yeye huwezi ondoka atamwambia nini Betty mkewe Kaunda kama litatokea jambo baya dhidi yake? Akamwambia Askari magereza wa Zambia atufute chumba kingine pale gerezani karibu na Kaunda ili naye alale hapo.
Mama Maria Nyerere naye akasema kama mumewe anala hapo gerezani basi na yeye atafutiwe upande wa gereza wanawake wanalala hawezi ondoka mumewe akilala hapo.
Taarifa hizo zilipo ifikia ikulu ya Zambia ziliistua serikali na ikakubali kutekeleza mambo yote waliyo jadiliana na Nyerere.
Ndipo Kaunda alikubali kula na Nyerere akaondoka Zambia. Haya yameandikwa ktk kitabu cha mtoto wa mwisho wa Kaunda.
Tanzanian ilikuwa ni nchi ya heshima kwa mataifa. Ilichukia udharimu kwa vitendo bila kujali mipaka ya nchi.
Sasa hivi kuna makaburu yanateka, kutesa kupoteza na kuua watu halafu yanasema eti watu wasiingilie kwa kuwa ni mambo yao ya ndani kuua wenzao bila hati.
Wakati Rais mstaafu wa Zambia Dr. Kaunda alipo wekwa remanded Rais mpya wa Zambia Frederick Chiluba.
Jumuhiya kimataifa zilimpa jukumu rais mstaafu wa Tanzania Mwl. NYERERE kutatua mgogoro huo.
Nyerere alienda kuonana na Rais Chiluba na kumshawishi amuachie Kaunda na kama kuna ishu basi Kaunda awekwe kizuizini nyumbani kwake atolewe gerezani juhudi zikiwa zinafanyiaka kutatua mgogoro.
Baada ya mazungumzo na Chiluba Nyerere aliomba kupelekwa gerezani kumuona Kaunda.
Alipo kutana na Kaunda waliongea mambo mengi na akamshawishi ale chakula kwa kuwa wamesha ongea na Chiluba. Kaunda akakataa kula akidai ili ale lazima aambiwe kwa nini yupo gerezani kwani anaona hana hatia.
Nyerere akamwambia kama hatakula hata yeye huwezi ondoka atamwambia nini Betty mkewe Kaunda kama litatokea jambo baya dhidi yake? Akamwambia Askari magereza wa Zambia atufute chumba kingine pale gerezani karibu na Kaunda ili naye alale hapo.
Mama Maria Nyerere naye akasema kama mumewe anala hapo gerezani basi na yeye atafutiwe upande wa gereza wanawake wanalala hawezi ondoka mumewe akilala hapo.
Taarifa hizo zilipo ifikia ikulu ya Zambia ziliistua serikali na ikakubali kutekeleza mambo yote waliyo jadiliana na Nyerere.
Ndipo Kaunda alikubali kula na Nyerere akaondoka Zambia. Haya yameandikwa ktk kitabu cha mtoto wa mwisho wa Kaunda.
Tanzanian ilikuwa ni nchi ya heshima kwa mataifa. Ilichukia udharimu kwa vitendo bila kujali mipaka ya nchi.
Sasa hivi kuna makaburu yanateka, kutesa kupoteza na kuua watu halafu yanasema eti watu wasiingilie kwa kuwa ni mambo yao ya ndani kuua wenzao bila hati.