Don Alaba Senior Member Nov 3, 2010 167 18 Feb 10, 2011 #1 Hii inamaanisha kikao kimeboa wacha nilale!
Don Alaba Senior Member Nov 3, 2010 167 18 Feb 10, 2011 Thread starter #2 Samahani nilitamani pcha ionekane kwa uzuri ila nimejitahidi mpaka hapo
MANI Platinum Member Feb 22, 2010 7,320 6,376 Feb 10, 2011 #3 Mkuu ujumbe umefika ila ndio walivyo hawa kwani wanajiwakilisha wao wenyewe hao sio wananchi.
Don Alaba Senior Member Nov 3, 2010 167 18 Feb 10, 2011 Thread starter #4 Kweli Mani hivi ndivyo wao hufanya baada ya kupewa kura!
N nyosingo Member Nov 5, 2010 5 0 Feb 10, 2011 #5 kweli man hatuwezi fika kwa njia hii maana hakuna chochote anachosikia
M Matarese JF-Expert Member Aug 30, 2009 527 42 Feb 10, 2011 #6 Don Alaba said: View attachment 22559 Hii inamaanisha kikao kimeboa wacha nilale! Click to expand... Wapiga kura wa mbinga magharibi mpo? huyo ndiye mbunge wenu! This is disgusting
Don Alaba said: View attachment 22559 Hii inamaanisha kikao kimeboa wacha nilale! Click to expand... Wapiga kura wa mbinga magharibi mpo? huyo ndiye mbunge wenu! This is disgusting