NGURI PORI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Hamjambo,
Nafahamu majonzi aliyoyaacha Gadafi Libya baada ya kifo chake.
Wananchi wa Libya walipata huduma zote za kijamii free, wasio na ajira walilipwa posho, watu walisaidiwa kupewa pesa za kuanzisha familia mara baada ya kuingia kwnye ndoa. Yalikua ni maisha safi kwa Walibya wote.
Nawasihii Watanzania wenzangu, tumssuport Mh. Rais wetu Magufuli namuona akituandalia maisha ya Libya chini ya Gadafi miaka inayokuja.
Tumpe muda akimaliza hii 10, si mbaya tukamuongezea hata mitano mingine.
Nina Imani nae.
Nafahamu majonzi aliyoyaacha Gadafi Libya baada ya kifo chake.
Wananchi wa Libya walipata huduma zote za kijamii free, wasio na ajira walilipwa posho, watu walisaidiwa kupewa pesa za kuanzisha familia mara baada ya kuingia kwnye ndoa. Yalikua ni maisha safi kwa Walibya wote.
Nawasihii Watanzania wenzangu, tumssuport Mh. Rais wetu Magufuli namuona akituandalia maisha ya Libya chini ya Gadafi miaka inayokuja.
Tumpe muda akimaliza hii 10, si mbaya tukamuongezea hata mitano mingine.
Nina Imani nae.