Tukiyahitaji maisha ya Libya enzi ya Gaddafi, hatuna budi kumpa nafasi zaidi Rais Magufuli

mandella

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
3,048
3,227
Hamjambo,

Nafahamu majonzi aliyoyaacha Gadafi Libya baada ya kifo chake.

Wananchi wa Libya walipata huduma zote za kijamii free, wasio na ajira walilipwa posho, watu walisaidiwa kupewa pesa za kuanzisha familia mara baada ya kuingia kwnye ndoa. Yalikua ni maisha safi kwa Walibya wote.

Nawasihii Watanzania wenzangu, tumssuport Mh. Rais wetu Magufuli namuona akituandalia maisha ya Libya chini ya Gadafi miaka inayokuja.

Tumpe muda akimaliza hii 10, si mbaya tukamuongezea hata mitano mingine.

Nina Imani nae.
 
mtoa mada muwah aliye kuloga kabla hajafa maana akifa hautapona huo ugonjwa ambao umeathil hadi uwezo wa ubongo wako kufikili!
Ni kweli akili za watu bure kabisa. Nani anataka utawala wa dikteta Gadaffi? Yeye ndio alikuwa kila kitu Libya. Anatumia rasilumali za nchi km za familia yake. Hatutaki kwenda huko. Hii ni nchi ya kidemokrasia
 
Acha kumfananisha mheshimiwa sana, mpakwa mafuta Gaddafi na....
Yule alikuwa mwanaume wa shoka,hakuna tena mfanowe Afrika nzima.
Kiukweli nifah Rais kuna ndoto njema aliyokuwa nayo ila mimi na wewe ndio tunamkwamisha mfano hai tuweke unafiki pembeni siku hizi kumezuka mtindo wa wafanyabiashara wakubwa na wadogo ukienda dukani kununua mzigo ,
Wanakupa risiti mbili ya ku print na ile ndogo ya mashine yenye t.r.a kinachofanyika ni hiki mfano unanunua mzigo wa milioni moja risiti ndogo utaandikiwa laki mbili, ile kubwa ndio itaandikwa bei halali ambayo hiyo hata ukikutana na wale wakaguzi wa t.r.a hutakiwi kumwonyesha,
Pili haya magorofa unayoyaona huku mijini mfano kkoo kodi kwa mlango wa mbele si chini ya milioni 2 kwa mwezi lakini mwisho wa siku serikali ikija kudai tax yao hapo wataonyeshwa mkataba feki wa mlango laki tano kwa mwezi, kibaya zaidi na kinachonichefua majumba mengi ya biashara wanachaji kwa dollar ilihali hii nchi tunatumia shilingi ya kitanzania
Halafu hapo utagemea serikali uchumi ukue bila mimi na wewe kuwa wazalendo tusahau maisha bora

Na kibaya zaidi hawa wasomi wetu wa hii nchi asilimia kubwa wanatumikia matumbo yao na familia zao wamesoma kwa kodi zetu lakini sii wazalendo hata kidogo

Mtu utasikia ajiita mchumi ukimuliiza umeisaidia nini Tanzania ukiwa kama mchumi ataanza siasa

Watanzania hii nchi ni yetu sote na sio ya mtu mmoja kama tunavyodhani na ndio maana kukawa na mawaziri , makatibu wakuu, wachumi, wanasheria, sijui mainjinia na wakuu wa wilaya wabunge na madiwani pamoja na sisi wananchi kwa kuwa ndio nguvu kazi tujiulize tumeisaidia nini Tanzania ?
Lawama hazijengi bali zinampa shetani nafasi kufanya yake nina imani wote kwa pamoja tukiwa na hofu ya Mungu na tukafanya kazi kwa moyo na kwa nguvu zote
Tukajishusha na kuwa wamoja tukalipa kodi kwa wakati na halali tukaikataa rushwa kwa dhati nina imani ipo siku tutakula mema ya nchi
Tuombeane mema ili nchi isonge mbele kwa pamoja tunaweza na Mungu atutangulie.
 
Kiukweli nifah Rais kuna ndoto njema aliyokuwa nayo ila mimi na wewe ndio tunamkwamisha mfano hai tuweke unafiki pembeni siku hizi kumezuka mtindo wa wafanyabiashara wakubwa na wadogo ukienda dukani kununua mzigo ,
Wanakupa risiti mbili ya ku print na ile ndogo ya mashine yenye t.r.a kinachofanyika ni hiki mfano unanunua mzigo wa milioni moja risiti ndogo utaandikiwa laki mbili, ile kubwa ndio itaandikwa bei halali ambayo hiyo hata ukikutana na wale wakaguzi wa t.r.a hutakiwi kumwonyesha,
Pili haya magorofa unayoyaona huku mijini mfano kkoo kodi kwa mlango wa mbele si chini ya milioni 2 kwa mwezi lakini mwisho wa siku serikali ikija kudai tax yao hapo wataonyeshwa mkataba feki wa mlango laki tano kwa mwezi, kibaya zaidi na kinachonichefua majumba mengi ya biashara wanachaji kwa dollar ilihali hii nchi tunatumia shilingi ya kitanzania
Halafu hapo utagemea serikali uchumi ukue bila mimi na wewe kuwa wazalendo tusahau maisha bora

Na kibaya zaidi hawa wasomi wetu wa hii nchi asilimia kubwa wanatumikia matumbo yao na familia zao wamesoma kwa kodi zetu lakini sii wazalendo hata kidogo

Mtu utasikia ajiita mchumi ukimuliiza umeisaidia nini Tanzania ukiwa kama mchumi ataanza siasa

Watanzania hii nchi ni yetu sote na sio ya mtu mmoja kama tunavyodhani na ndio maana kukawa na mawaziri , makatibu wakuu, wachumi, wanasheria, sijui mainjinia na wakuu wa wilaya wabunge na madiwani pamoja na sisi wananchi kwa kuwa ndio nguvu kazi tujiulize tumeisaidia nini Tanzania ?
Lawama hazijengi bali zinampa shetani nafasi kufanya yake nina imani wote kwa pamoja tukiwa na hofu ya Mungu na tukafanya kazi kwa moyo na kwa nguvu zote
Tukajishusha na kuwa wamoja tukalipa kodi kwa wakati na halali tukaikataa rushwa kwa dhati nina imani ipo siku tutakula mema ya nchi
Tuombeane mema ili nchi isonge mbele kwa pamoja tunaweza na Mungu atutangulie.
Watch your mouth! Msijipe matumaini yasiyo na matumaini. Wengine hatujasoma kwa kodi zenu. Ni vema mlijue hilo, sio wote. Awamu hii haina sera yoyoye itakayoinua uchumi. Mnajazwa uchumi wa matumaini tu ili siku ziende. Uchumi sio nyumba kwamba ukitaka kujenga mpya unaweza kubomoa ya zamani. Fanyeni kazi vijana uchumi mzuri ndoto nchi hiyo hata kwa miaka 20 ijayo.
 
Watch your mouth! Msijipe matumaini yasiyo na matumaini. Wengine hatujasoma kwa kodi zenu. Ni vema mlijue hilo, sio wote. Awamu hii haina sera yoyoye itakayoinua uchumi. Mnajazwa uchumi wa matumaini tu ili siku ziende. Uchumi sio nyumba kwamba ukitaka kujenga mpya unaweza kubomoa ya zamani. Fanyeni kazi vijana uchumi mzuri ndoto nchi hiyo hata kwa miaka 20 ijayo.
Mimi naamini katika haya sikufaidika na dhulma wala rushwa wanaopata shida kwa sasa niwale waliozoeya maisha ya dili na dhulma
 
Kwa nchi kama Tanzania hakiwezi kutokea kitu kama hicho labda ashuke malaika ndo atuongoze,ndo maana hata Libya watu wenye roho mbaya wameangamiza nchi.
Hamjambo.

Nafahamu Majonzi aliyoyaacha Gadafi Libya baada ya Kifo Chake.

Wananchi wa libya walipata huduma Zote za kijamii Free ., wasio na ajiri Walilipwa Posho, Watu walisaidiwa Kupewa Pesa za kuanzisha familia mara baada ya kuingia kwnye Ndoa . Yalikua ni maisha Safi kwa Walibya wote .

Nawasihii watz wenzangu,tumssuport Mh.Rais Wetu JPM... namuona akituandalia Maisha Ya Libya Chini Ya Gadafi Miaka Inayokuja . Tumpe Muda Akimaliza Hii 10 , Si mbaya Tukamuongezea Hata mitano mingine .

Nina Imani nae.
 
Mimi naamini katika haya sikufaidika na dhulma wala rushwa wanaopata shida kwa sasa niwale waliozoeya maisha ya dili na dhulma
Hapana, sio wote! Pamoja na yote lakini shida ipo pia katika economic policy management ya awamu hii. Seems like we are under "illusionary budget". Kwa msingi huo, economic principles zinazotakiwa kutekelezwa chini ya mwemvuli wa bajeti hazitaleta matunda wala manufaa. Sijui unanielewa?
 
hiyo labda siku parapanda lilie!inaonekana wazi kbs haitawezekana hata aje rais mzung
 
Watu kama kina Gadafi kwenye Dunia hii ni wa kuhesabu ,Pamoja na kwamba alimsaidia Nduli Idd Amin kutupiga Watanzania bado haipotezi sifa yake kwamba ni Visionary Leader
Siioni hiyo sifa kwa Magufuli sijui kwanini
 
Acha kumfananisha mheshimiwa sana, mpakwa mafuta Gaddafi na....
Yule alikuwa mwanaume wa shoka,hakuna tena mfanowe Afrika nzima.
Yaani haka kajamaa kanajiaminisha kabisa kuwa mchizi atakaa pale mjengoni kwa miaka kumi.....
kaniharibia sikukuu yangu kabisaaa!
 
Back
Top Bottom