Mchokoo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 1,188
- 1,604
Huu ndiyo ukweli ninaoujua mimi. Kama taifa Hutu, tukipata Katiba bora, basi yeyote anafaa kutuongoza, na tukiwa na Katiba mbaya yeyote hatatufaa!
Tukiwanayo nzuri, yeyote anaweza kusifiwa, na tukiwa na mbaya yeyote anaweza kulaumiwa.
Kwenye kuitekereza mbaya, yeyote atafanya atakavyo, na kwenye nzuri yeyote hafanyi atakavyo
Na kumbe siyo wao kama tunavyoaminishwa sasa, bali ni Katiba inayowafinyanga hivyo.
Nje uwezo wa Uungu, Katiba mbovu hatawapatia kiongozi bora. Mnachoweza kufanya ni kumtoa afadhari na kuweka nafuu.
Ndiyo maana tulishaona huyu akiweka msingi huu ila akitoka, mwenzake huundoa na kuanza mwingine mpya.
Tukiwanayo nzuri, yeyote anaweza kusifiwa, na tukiwa na mbaya yeyote anaweza kulaumiwa.
Kwenye kuitekereza mbaya, yeyote atafanya atakavyo, na kwenye nzuri yeyote hafanyi atakavyo
Na kumbe siyo wao kama tunavyoaminishwa sasa, bali ni Katiba inayowafinyanga hivyo.
Nje uwezo wa Uungu, Katiba mbovu hatawapatia kiongozi bora. Mnachoweza kufanya ni kumtoa afadhari na kuweka nafuu.
Ndiyo maana tulishaona huyu akiweka msingi huu ila akitoka, mwenzake huundoa na kuanza mwingine mpya.