Tukio la Bobi Wine: Tanzania tuko kimya, Kenya kesho wanaandamana

Utajuaje kuna upuuzi kama wewe hauko hivyo..

Maandamano andamana wewe.. awamu hii minyoosho tu.. zoea au chimba shimo ujifukie.. hskuna vya dezo fanya kazi mvivu mkubwa.. ulizoea wizi tu.. jela kunakuhusu..

Hapa kazi tu..

Magufuli oyeeeeeee
Kwa hiyo hizo BUKU SABA unazokusanya LUMUMBA ndio unajiona unapiga kazi mwenyewe???
 
Hakuna sauti hata moja iliyosubutu kufanya hivo. Nahisi tanzania bado iko katika zama za ukoloni mahali ambapo mtu mmoja tu ndio anaamua shughul za mamilion ya watu how?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania especially wasanii, waandishi wa habari, wanaharakati wa haki za binadamu na interested groups, kesho tuungane kwa pamoja na majirani zetu Kenya kwenda kwenye ubalozi wa Uganda ili kushinikiza uongozi wa kidikteta chini ya rais Yoeli Kaguta Museven umuachie msanii wa nyimbo ambaye pia ni mbunge Mh. Robert Kaygulanyi (Bobi Wine) akatibiwe.

Leo kwao kesho kwetu.
==================
A group of Kenyans are planning a march to the Ugandan embassy in Nairobi protesting the detention of Kyadondo East member of Parliament, Robert Kyagulanyi Ssentamu.

The Kenyans led by photojournalist cum activist, Boniface Mwangi say they will march to the Ugandan Embassy in protest on Wednesday, August 22.

Mwangi, while responding to a tweet showing pictures of another protest in Busia Kenya, said he was proud of Kenyans in the west, adding; Thank you for leading on this. Nairobi we are on for #FreeBobiWine on Wednesday, 22nd August. We are marching to the Ugandan Embassy on Riverside drive. The organising team @TeamCourageKE @alaminkimathi@lawsocietykenya will share more details.

It is key to note however, that there was no protest in Busia Kenya, as the pictures shared were picked off an unverified BBC Kenya page which has been set up with Bobi Wine related content.

Meanwhile, the police and military in Kampala were on Monday afternoon involved in running battles with people in the city centre who were protesting against the detention of Kyadondo East Member of Parliament Robert Kaygulanyi also known as Bobi Wine.

UPDATES

Wabunge wa Kenya kwenda Uganda kuandamana. Ubalozi wa Uganda kufungwa. - JamiiForums








Sisi inatuhusu nini?tuko busy tunajenga taifa letu mambo ya Bob wine sie hayana nafasi,kama vip andamana wewe na ndugu zako.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Watanzania especially wasanii, waandishi wa habari, wanaharakati wa haki za binadamu na interested groups, kesho tuungane kwa pamoja na majirani zetu Kenya kwenda kwenye ubalozi wa Uganda ili kushinikiza uongozi wa kidikteta chini ya rais Yoeli Kaguta Museven umuachie msanii wa nyimbo ambaye pia ni mbunge Mh. Robert Kaygulanyi (Bobi Wine) akatibiwe.

Leo kwao kesho kwetu.
==================
A group of Kenyans are planning a march to the Ugandan embassy in Nairobi protesting the detention of Kyadondo East member of Parliament, Robert Kyagulanyi Ssentamu.

The Kenyans led by photojournalist cum activist, Boniface Mwangi say they will march to the Ugandan Embassy in protest on Wednesday, August 22.

Mwangi, while responding to a tweet showing pictures of another protest in Busia Kenya, said he was proud of Kenyans in the west, adding; Thank you for leading on this. Nairobi we are on for #FreeBobiWine on Wednesday, 22nd August. We are marching to the Ugandan Embassy on Riverside drive. The organising team @TeamCourageKE @alaminkimathi@lawsocietykenya will share more details.

It is key to note however, that there was no protest in Busia Kenya, as the pictures shared were picked off an unverified BBC Kenya page which has been set up with Bobi Wine related content.

Meanwhile, the police and military in Kampala were on Monday afternoon involved in running battles with people in the city centre who were protesting against the detention of Kyadondo East Member of Parliament Robert Kaygulanyi also known as Bobi Wine.

UPDATES

Wabunge wa Kenya kwenda Uganda kuandamana. Ubalozi wa Uganda kufungwa. - JamiiForums
Hamia Kenya!
 
ya WaTanzania wenzetu wao Waliandamana? Ben saanane, azory Gwanda, Wakenya na Waganda waliandamana? Tupunguze Kiherehere!
 
Watanzania especially wasanii, waandishi wa habari, wanaharakati wa haki za binadamu na interested groups, kesho tuungane kwa pamoja na majirani zetu Kenya kwenda kwenye ubalozi wa Uganda ili kushinikiza uongozi wa kidikteta chini ya rais Yoeli Kaguta Museven umuachie msanii wa nyimbo ambaye pia ni mbunge Mh. Robert Kaygulanyi (Bobi Wine) akatibiwe.

Leo kwao kesho kwetu.
==================
A group of Kenyans are planning a march to the Ugandan embassy in Nairobi protesting the detention of Kyadondo East member of Parliament, Robert Kyagulanyi Ssentamu.

The Kenyans led by photojournalist cum activist, Boniface Mwangi say they will march to the Ugandan Embassy in protest on Wednesday, August 22.

Mwangi, while responding to a tweet showing pictures of another protest in Busia Kenya, said he was proud of Kenyans in the west, adding; Thank you for leading on this. Nairobi we are on for #FreeBobiWine on Wednesday, 22nd August. We are marching to the Ugandan Embassy on Riverside drive. The organising team @TeamCourageKE @alaminkimathi@lawsocietykenya will share more details.

It is key to note however, that there was no protest in Busia Kenya, as the pictures shared were picked off an unverified BBC Kenya page which has been set up with Bobi Wine related content.

Meanwhile, the police and military in Kampala were on Monday afternoon involved in running battles with people in the city centre who were protesting against the detention of Kyadondo East Member of Parliament Robert Kaygulanyi also known as Bobi Wine.

UPDATES

Wabunge wa Kenya kwenda Uganda kuandamana. Ubalozi wa Uganda kufungwa. - JamiiForums
Katika wajinga wewe unawaongoza...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo wewe unataka tuandamane kwa sababu ipi haswa?


Hii ni Uingeleza unaweza kujiuliza wameandamana kwa sababu ipi haswa? jitahidi angalau kuwa na fikra pana hasa linapokuja suala la kuonewa kwa mtu au kiongozi yeyote yule iwe ndani au nje ya Tanzania sio kila kitu kuonyesha upumbavu pasipo kutumia akili.
 


Hii ni Uingeleza unaweza kujiuliza wameandamana kwa sababu ipi haswa? jitahidi angalau kuwa na fikra pana hasa linapokuja suala la kuonewa kwa mtu au kiongozi yeyote yule iwe ndani au nje ya Tanzania sio kila kitu kuonyesha upumbavu pasipo kutumia akili.

Slavery mentality.... asshole!!
 
Back
Top Bottom