Tukio la Arusha: Tunahitaji tamko la Makanisa.

Tukio la Arusha: Tunahitaji tamko la Makanisa.

DALLAI LAMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
8,652
Reaction score
2,642
Tunasubiri tamko la Muadhama Kardinal Polycap Pengo,Tunasubiri tamko la Alex Malasusa, Tunahitaji tamko la Valentino Mokiwa..Wakristo tunajiona Wapweke sana VIONGOZI WETU juu ya tukio la 'UGAIDI' Arusha. TAIFA LINAHITAJI UFAFANUZI WENU.
 
Walishasema wanatafakari upya mahusiano yao na serikali iliyopo madarakani.nakubaliana na mtikila mkuu wa kaya analengo la kuangamiza wakristu.
 
Wametoa matamko mengi sana lakini serikali sio sikivu.
 
Namuunga mkono Mtikila, namkubali sana Mtikila coz ni great thinker na kesi hii i remember alishinda. Na kama alishinda ilibiidi JK ajiuzulu coz ameshindwa kutetea katiba aliyoapa kuilinda.
 
Makanisa ya Tanzania yamejaa wachumia tumbo hawana lolote! Ndio maana wanapokuja watu kutoka kwa TB Joshua, wafuasi wao wote hujaa huko kama ilivyokuwa leo Diamond Jubilee.
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana ndiyo sababu unaweza kusema maneno hayo ya kijinga dhidi ya viongozi wa makanisa hapa nchini
 
Niwajuavyo Maaskofu, hasa hao waliotajwa na Mleta mada huwa hawakurupuki.

Kumbuka suala la Mbagala, hawakuwa na haraka yoyote, lakini siku walipoibuka, waraka walioutoa ulitikisa milima.

Maaskofu wetu ni watu wasomi sana, na wengi wamejaaliwa busara, naamini ukimya wao si bure, una mshindo mkuu.

Tuwe na subira.
 
Walishasema wanatafakari upya mahusiano yao na serikali iliyopo madarakani.nakubaliana na mtikila mkuu wa kaya analengo la kuangamiza wakristu.

We utakuwa ni mfuasi pekee wa kanisa la Mtikila.
 
Tunasubiri tamko la Muadhama Kardinal Polycap Pengo,Tunasubiri tamko la Alex Malasusa,Tunahitaji tamko la Valentino Mokiwa..Wakristo tunajiona Wapweke sana VIONGOZI WETU juu ya tukio la 'UGAIDI' Arusha.TAIFA LINAHITAJI UFAFANUZI WENU.

Alex Malasusa siku ile alikuwa anaongea kuhusu kafara,kwamba analaani kafara,which was a very unwise thing to say.kwa sababu tukio lote lile la watu kuuawa ni kafara. Kwa maneno yake suppossedly ya kulaani,actually ilikuwa ni tacit support.
Vingozi wa Kikristu watasema;
1. Tusilipize kisasi,sisi ni Wakristu,
2.Watasema polisi waachiwe wafanye kazi yao.
Hili ni tatizo kubwa,this thing cannot be swept under the carpet,Wakristu wanaweza kuwa na strong views,wanaweza kutaka kuwa militant. Labda Wakristu watalipuuzia hili jambo,and they will not retaliate,if you do not try too hard to convince them to be non-violent.
 
kuweni makini na BAN,wengi wamekula BAN katika mjadala huu wa bomu Arusha asee..inaumiza na kusikitisha sana
 
Makanisa ya Tanzania yamejaa wachumia tumbo hawana lolote! Ndio maana wanapokuja watu kutoka kwa TB Joshua, wafuasi wao wote hujaa huko kama ilivyokuwa leo Diamond Jubilee.

Hawana dhiki hata kidogo, kama upo makini ndio wenye miradi mikubwa ya ma-hospitali, mashule na vyanzo kibao vya mapato!

Nikuulize tu ulishawahi kuona padri au mchungaji anakimbilia ubwabwa wa harusi baada ya kufungisha ndoa?

Si hao ndugu zako bila promise ya ubwabwa hawafungishi ndoa
 
Tunasubiri tamko la Muadhama Kardinal Polycap Pengo,Tunasubiri tamko la Alex Malasusa, Tunahitaji tamko la Valentino Mokiwa..Wakristo tunajiona Wapweke sana VIONGOZI WETU juu ya tukio la 'UGAIDI' Arusha. TAIFA LINAHITAJI UFAFANUZI WENU.

Umesema vyema......
Muadhama lazima atoe tamko...
 
Kuna jipya la kusemwa hapo kuliko yaliyosemwa? Au wataka waseme wakristo waandamane, au wapambamane? Adui mwenyewe hajathibitika. Labda waseme tufunge nchi nzima kuombea umoja na amani, nitakuwa wa kwanza, au waje na mkakati wa namna ya kufundisha kwa bidii uvumilivu wa dini, au kusema hawatowasaidia wanasiasa kipindi cha uchaguzi. vinginevyo, watasema sema tu ili nao wasikikike wamesema ila hakuna jipya. Haya ya kufunga, au kutowasaidia wanasiasa, na kufundisha uvumilivu, i bet hawatasema.
 
Back
Top Bottom