Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,100
- 32,921
Lugha gani hiyo ya huko kanda ya ziwa? Labda tuanze hapa kwanza....huku wakazi kazingumza lugha ya huko Kanda ya ziwa....
Lugha gani hiyo ya huko kanda ya ziwa? Labda tuanze hapa kwanza....huku wakazi kazingumza lugha ya huko Kanda ya ziwa....
Kuna clip inaonyesha ardhi ikitembea hapa bongo huku wakazi kazingumza lugha ya huko Kanda ya ziwa Kuna mwenye taarifa ya Hilo tukio
Sent using Jamii Forums mobile app
tena ya form 3Ndugu ulishawahi kusoma hata Geography ya o-level?
Nimesaau jina husika kwani hakiwezekani...yaani wewe unaambia huyu ni paka then ukimuangalia ni kunguru ila ilo jina kunguru tu umelisaau kwahiyo ukubali sawa paka JF sijui kwanini unahitaji tumia nguvu kuelekeza.Umesahau alafu unabisha, we jamaa kiboko!!!
Aya hiyo apo chini jinalake, unataka nikubali huyu paka nakati namuona kunguru kisa nimesaau ilo jina kunguru tu.Umesahau alafu unabisha, we jamaa kiboko!!!
Earthflow...
Mudflow... RockfallLandslide, mudslide, rockslide.....
Wewe iyo geography yako ulipata D bila shaka. Iyo sio land slide. Land slide ni kutoka juu inashuka chini. Sasa apo ni tambalale kuna platetectonic movt.Wale ambao tulipita vizuri kwenye geography... hiyo ndio landslide.
Haitokei kwenye tambarare siku zote ni kwenye mwinuko.
______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
.Wewe iyo geography yako ulipata D bila shaka. Iyo sio land slide. Land slide ni kutoka juu inashuka chini. Sasa apo ni tambalale kuna platetectonic movt.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa hakuna matata October man nakutakia jumapili njemaAya hiyo apo chini jinalake, unataka nikubali huyu paka nakati namuona kunguru kisa nimesaau ilo jina kunguru tu.
Kwa taarifa yako nilipata "B"... 20 years ago. Hivyo sio sababu ya kunichukulia nimepata nini kwenye somo gani, kilichofanya usiandike nimepata "F" ni nin?Wewe iyo geography yako ulipata D bila shaka. Iyo sio land slide. Land slide ni kutoka juu inashuka chini. Sasa apo ni tambalale kuna platetectonic movt.
Sent using Jamii Forums mobile app
@heradius12 anakwambia hiyo ni tambarare, ndio macho yake yanavyoona, hii na hiyo aliyoshare mdau ni same thing.... mazingira tu ndio tofauti... Landslide.
Acha uongo hilo tukio limetokea Rwanda tatizo vijana mnapenda kupost udaku tuKuna clip inaonyesha ardhi ikitembea hapa bongo huku wakazi kazingumza lugha ya huko Kanda ya ziwa Kuna mwenye taarifa ya Hilo tukio
Sent using Jamii Forums mobile app