kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Wapo watu wana amini ukifa unazaliwa tena (reincarnation)
Yaani kinacho kufa ni mwili wako lakini roho yako bado itabaki inaishi apa duniani ndani ya mwili wa mtu mwingine
Kama ni kweli basi mimi nitakuwa na roho wa Abunuwasi
Yaani mimi ni Abunuwasi mtupu
Yaani kinacho kufa ni mwili wako lakini roho yako bado itabaki inaishi apa duniani ndani ya mwili wa mtu mwingine
Kama ni kweli basi mimi nitakuwa na roho wa Abunuwasi
Yaani mimi ni Abunuwasi mtupu