Tukemee hizi tabia

Tukemee hizi tabia

SURN

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2011
Posts
319
Reaction score
36
POLENI NA MAJUKUMU WANA JF....Jf ni sehemu ambayo inanisaidia mambo mengi ya kimaisha... napata ujuzi tofauti tofaut na huwa napata faida nying sana nikiwa humu ..KIFUPI NAIFURAHIA NA PIA NAPENDA IIENDELEE KUWEPO......LAKINI kuna baadhi ya wa2 humu ndan huwa wanaudh sana, hasa pale m2 anavyokuwa anataka msaada furan...halafu anatokea m2 mwingne anakuja na majibu machafu(matusi,kejeli,kukatishana tamaa,unafiki)...hii inadhihirisha kwamba humu ndan kuna wa2 wengine si GREAT THINKER.....ushauri wangu...jaribu kuchangia kutokana na jukwaa ulilopo...usilete mambo ya chit chat kwenye jukwaa la elimu au la business pia ki2 usichokijua kiache waje wanaojua watoe wanavyovijua....hiyo tabia huwa inanikera sana.... MA GREAT THINKER NAOMBA 2KEMEE HIKI KITENDO, BILA SHAKA KINAUDHI WENGI
 
Maada yako yaweza ikawa nzuri ila kuna wengine wanapo post thread za biashara mf. Simu, gari, n.k halafu hawaweki at least vielelezo kama vile picha n.k. Ndio maana wateja wanakereka na kuishia hapo unaposema. Hilo la GReAT THINKERS sio kila mtu ni great kuna wengine ni moderate thinkers au medium thinkers hatuwez kuwa sawa. Na nyie ambao mnaendelea kufanya bizness kwenye forum hii msipate kichwa kutokana na maada hii, kudai picha na maelezo ya kutosha tutaendelea tu mojawapo mm apa. Hili sio duka kwan hakuna kinachoonekana zaid ya maandishi hata dukan huwa wanatoa maelezo kidogo kabla ya kuuza. OVER
 
Maada yako yaweza ikawa nzuri ila kuna wengine wanapo post thread za biashara mf. Simu, gari, n.k halafu hawaweki at least vielelezo kama vile picha n.k. Ndio maana wateja wanakereka na kuishia hapo unaposema. Hilo la GReAT THINKERS sio kila mtu ni great kuna wengine ni moderate thinkers au medium thinkers hatuwez kuwa sawa. Na nyie ambao mnaendelea kufanya bizness kwenye forum hii msipate kichwa kutokana na maada hii, kudai picha na maelezo ya kutosha tutaendelea tu mojawapo mm apa. Hili sio duka kwan hakuna kinachoonekana zaid ya maandishi hata dukan huwa wanatoa maelezo kidogo kabla ya kuuza. OVER[/QU ok that z a gud ideal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom