DX2018
Member
- Nov 24, 2018
- 55
- 45
Habari wana jamviii
Nimefungua uzi huu kwa wale mafundi na wataalamu wa kutoa FRP kwenye simu zetu za android.
Naomba tudiscuss software bora ambazo zinafanya vizuri kwenye kufungua FRP security kwenye android smartphones.
Maybe wengine hawajui nini maana ya FRP!
Factory Reset Protection (FRP) Lock?
Hii ni security feature ambayo imewekwa na GOOGLE kwenye simu za androids (5.1 and above) ili kuzuia mtu mwingine asitumie simu yako endapo akifanya force factory reset.
Na hii imekuwa tatizo kwa watu wengi hata kama simu ni yako ukajisahu ukatumia botton key kuformat au kureset basi lazima ukutane na hii lock na inakuwa shida zaidi pale ukiwa umesahau email au passowrd ya email, basi utalazimikamika kutumia njia mbadala kurudisha simu yako kwenye hali yake.
Njia hizo mbadala basi utalazimika kutumia softwares mbali kuflash au kubypass hii FRP LOCK.
Binafsi natumia hii software download full packed + flashing tools hapa XTM-MASTER FRP kwangu imekuwa ikifanya vizuri sna
So nimefungua uzi huu tupeane ujuzi na jinsi ya kukabidili simu zinazoshindikaana kabisa kubypass
Karibuni.
Nimefungua uzi huu kwa wale mafundi na wataalamu wa kutoa FRP kwenye simu zetu za android.
Naomba tudiscuss software bora ambazo zinafanya vizuri kwenye kufungua FRP security kwenye android smartphones.
Maybe wengine hawajui nini maana ya FRP!
Factory Reset Protection (FRP) Lock?
Hii ni security feature ambayo imewekwa na GOOGLE kwenye simu za androids (5.1 and above) ili kuzuia mtu mwingine asitumie simu yako endapo akifanya force factory reset.
Na hii imekuwa tatizo kwa watu wengi hata kama simu ni yako ukajisahu ukatumia botton key kuformat au kureset basi lazima ukutane na hii lock na inakuwa shida zaidi pale ukiwa umesahau email au passowrd ya email, basi utalazimikamika kutumia njia mbadala kurudisha simu yako kwenye hali yake.
Njia hizo mbadala basi utalazimika kutumia softwares mbali kuflash au kubypass hii FRP LOCK.
Binafsi natumia hii software download full packed + flashing tools hapa XTM-MASTER FRP kwangu imekuwa ikifanya vizuri sna
So nimefungua uzi huu tupeane ujuzi na jinsi ya kukabidili simu zinazoshindikaana kabisa kubypass
Karibuni.