shonkoso
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 687
- 1,455
Darasa ni popote jamani kuna watu wanaishi na hawa Dada wa kazi kama ndugu zao au Mara nyingine kwa haraka haraka waweza dhania ni mtoto wa hapo hapo,wengine wanakaa na hawa watu mpaka wanaolewa,sisi wengine week moja tu Vingi kashaanza kuulizia kama anaweza kwenda kusalimia kwao,wenye uzoefu wenu karibuni