Tujuzane idea/project competition mbalimbali hapa duniani

Nindo

Member
Aug 23, 2016
71
117
Heshima kubwa naiwe juu yenu mabibi na mabwana!!Kwa heshima na taadhima najitokeza hapa jukwaani,kutoa ombi lifuatalo.

Vijana wengi wa kitanzania tumekuwa tukilalamika kuwa tuna idea ama project nzuri na bora lakini mitaji ndio kikwazo kikuu. Duniani kumekuwapo na competition mbalimbali kuhusu idea ama project katika nyanja zote za kijamii, kiuchumi ama kiutamadani!!

vijana wengi tunakosa fursa za kushiriki competition hizo ambazo zingeweza kutusaidia kutimiza ndoto zetu na kutatua changamoto mbali mbali katika jamii zetu.Naomba Uzi huu uwe maalumu kwa ajili ya kujulishana na kuelekezana fursa za competition mbali mbali kuhusu idea ama project!!

Naomba tujulishane na kupeana mbinu za kuandika pamoja na ushiriki sahihi.
Nawasilisha
 
Heshima kubwa naiwe juu yenu mabibi na mabwana!!Kwa heshima na taadhima najitokeza hapa jukwaani,kutoa ombi lifuatalo.

Vijana wengi wa kitanzania tumekuwa tukilalamika kuwa tuna idea ama project nzuri na bora lakini mitaji ndio kikwazo kikuu. Duniani kumekuwapo na competition mbalimbali kuhusu idea ama project katika nyanja zote za kijamii, kiuchumi ama kiutamadani!!

vijana wengi tunakosa fursa za kushiriki competition hizo ambazo zingeweza kutusaidia kutimiza ndoto zetu na kutatua changamoto mbali mbali katika jamii zetu.Naomba Uzi huu uwe maalumu kwa ajili ya kujulishana na kuelekezana fursa za competition mbali mbali kuhusu idea ama project!!

Naomba tujulishane na kupeana mbinu za kuandika pamoja na ushiriki sahihi.
Nawasilisha
Kaka nipo na wewe.. nina idea nzito sana.. lakin sasa support nakosa... yaan inakuwa ngumu kuotekeleza
 
Kuna Tony Alumelu Foundation inafanyika Kila Mwaka...Nimesawahi kuwa selected...Huwa wanatoa Dola Elfu Kumi...
 
In tech, If you have any renewable/alternative source of energy either innovation or invention see Bill&Mellinda Gates foundation... You will be on top of the table
 
Hawa wanakuwaga na kazi ya kuwatumia watu tu, wanatangaza competition wanakusanya ideas nyingi na wanazifanya wao zile wanaona zinafaa, just imagine mil 10 inanunua billion worth business ideas
 
Pale REPOA wana michezo hiyo womanizing mawazo ya watu wanafanyia kazi ww hata kifuta jasho hupati
 
Back
Top Bottom