Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,155
Kwakweli mapenzi hayana formula me nashangaa MTU anaenda kwa mwanaume anamkuta tayari ana watoto eti anawachukia wale watoto jaman sasa kosa la mtoto ni lipi kwa mfano.....me naamini ukimpenda mtu automatically unapenda kila kitu chake
Duuuh hyo kibokotulidumu kwenye mahusiano ya kuoana zaidi ya miaka 15...tangia shuleni
asalalee walahi..alivyokuja kuni ditch,sikutegemea.!!
mumewe ndiye wakuniambia '..huyu P ni mke wangu wa ndoa..'
tena baada ya miaka 2 kupita,huku nikiendelea kuwasiliana naye...nikijua ni wangu wa kuzikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyakati zingine mipango matumizi mkuuMipango sio matumizi mkuu. Kuishi kwa malengo ni kitu kizuri na kujiwekea ndoto unazotaka kuzitimiza wewe na mwenza wako sio kosa kabisa ni sawa bin sawia.
Tatizo ni kuwa binadamu tunabadilika kadiri muda unavyoenda, tunakutana na watu/mambo mapya ambayo yatatufanya tu deviate from our original plans, ikifikia hatua hii basi ujue yote uliyopanga na kufanya hapo nyuma yalikua in vain.
Move on.
Sent using Jamii Forums mobile app