Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,880
- 2,758
Napatwa kigugumizi cha akili. Kwa masaa haya machache yaliyobakia, jk ana lipi jipya? Najiuliza hao walalahoi wenzangu wanaomshabikia amewapa nini? Nafika ukomo wa kufikiri katika hili. Inakuwaje wengine tunataka mabadiliko na wengine hawataki? Au tunasikia tofauti? Nashindwa kuamini baada ya yote haya bado kuna MASIKINI Tanzania hii anaikenyulia ccm. Watanzania wajue kwamba fursa kama hizi ni adimu sana. Nawatakia uchaguzi mwema. Tuchague mabadiliko. Halafu kuna sistaduu mmoja kashika kipeperushi cha jk anajipepea nacho (niko kwenye daladala). Ananiboa sana