'..nimeamua kuwaachia familia ya Nguza waliofungwa kifungo cha maisha,kwa kosa la kubaka na kulawiti.! watu wote 'ooyeeehh' na cheers kwa sana!!
dakika chache nyimbo zao zinapigwa kila kona ya nchi
'hapa jf hapatoshi tena,ni Seya na pongezi kwa hiyo ibara ya 45'
aliyependekeza elimu ya degree kwa waandishi wa habari,hilo alilijua.