Spectophotometer
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 375
- 503
TUJIKUMBUSHE WARAKA WA TEC CCT NA PCPT MWAKA 2015
Huu pia ni ugaidi.TUJIKUMBUSHE WARAKA WA TEC CCT NA PCPT MWAKA 2015
Secular state kwenye jambo la watu wengine siyo? Vipi kuhusu Mikataba ya Serikali na Kanisa Katoliki kuwapatia mabilioni kila mwaka?Weka na waraka wowote ule wa ndugu zako bakwata ili kubalance taarifa yako.
By the way, mpaka kesho hakuna mkristo anayepinga kuanzishwa kwa hiyo mahakama yenu ya kadhi. Shida inakuja pale mnapotaka serikali ndiyo ihusike kuwalipa waendeshaji wake, na wakati huo huo Katiba inaitambua nchi kama Secular state! Yaani nchi isiyofungana na dini yoyote ile.