Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,722
- 45,129
Kufatia tetesi za kuondoka kwa Tadeo Lwanga na kutua kwa Mnigeria Akpan klabuni Simba, ni muendelezo wa ujio na kuondoka kwa viungo wakabaji Simba lakini wote hao wamekuwa wakimkuta na kumuacha Jonas Gerald Mkude.
Jonas Mkude sio wa kawaida ana kitu cha ziada inaonekana ambacho Viungo wengine hasa wa kigeni hawana.
Haya mimi naanza na Tadeo Lwanga ambaye anaondoka Simba kwa sababu ya majareha yasiyoisha...endelea na wewe
Jonas Mkude sio wa kawaida ana kitu cha ziada inaonekana ambacho Viungo wengine hasa wa kigeni hawana.
Haya mimi naanza na Tadeo Lwanga ambaye anaondoka Simba kwa sababu ya majareha yasiyoisha...endelea na wewe