Tujikumbushe: Madongo ya Makonda kwa watumishi wa umma

Manjagata

JF-Expert Member
Mar 7, 2012
11,722
12,104

Hii ilikuwa kali,, watu wanabaki macho kodo!! Huku mh. Rais wa Darisalama akishusha mapande!! Ila u-Bashite umemshusha hadhi sana huyu jamaa ni kwa vile ni taahira tu ndo maana ataendelea kutukana watu! Ila ajichunge sana watu wasije wakamjibu mbovu siku ya siku!!
 
Back
Top Bottom