Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,107
Salam,
Juzi nilipata tatizo kwenye kibebi woka changu. Power window zilikuwa kama zimechanganyikiwa, ukishusha vioo vya gari nzima kwa kutumia batons za mlango wa dereva, vioo vinagoma. Ikabidi niende kwa fundi, fundi akaniambia nirudi jioni na gharama nzima ni elfu 55.
Kumbe lile sio tatizo ni kitu cha dk5 tu na kinasababishwa na kutoa betri kwenye gari na hivyo ukirudisha betri ni kama unatakiwa ufanye setting ndogo tu ya power window na saa kwenye gari, ambavyo vinakuwa kama vimevurugwa kwa zoezi la utoaji na uwekaji wa betri.
Cha Kufanya:
Una shush kioo kimoja kimoja kwa baton ya mlango wake, kisha unapandisha lakini ukipandisha unashikilia baton bila kuachia kwa at least 30sec. Hivyo tu na system nzima inarudi vizuri.
Nimelijua leo na hapa najiandaa niende kupachimba gereji.
Usiibiwe na wewe.
Juzi nilipata tatizo kwenye kibebi woka changu. Power window zilikuwa kama zimechanganyikiwa, ukishusha vioo vya gari nzima kwa kutumia batons za mlango wa dereva, vioo vinagoma. Ikabidi niende kwa fundi, fundi akaniambia nirudi jioni na gharama nzima ni elfu 55.
Kumbe lile sio tatizo ni kitu cha dk5 tu na kinasababishwa na kutoa betri kwenye gari na hivyo ukirudisha betri ni kama unatakiwa ufanye setting ndogo tu ya power window na saa kwenye gari, ambavyo vinakuwa kama vimevurugwa kwa zoezi la utoaji na uwekaji wa betri.
Cha Kufanya:
Una shush kioo kimoja kimoja kwa baton ya mlango wake, kisha unapandisha lakini ukipandisha unashikilia baton bila kuachia kwa at least 30sec. Hivyo tu na system nzima inarudi vizuri.
Nimelijua leo na hapa najiandaa niende kupachimba gereji.
Usiibiwe na wewe.