Gharama zake wanatoza kwa mfumo upi mkuu?Mkuu kuna huduma ya bulk meseji kama airtel wana plan unaenda wajisajili mfano ukitaka msg ikenda iandike mohamed islete namba.
Sijakuelewa mkuu unachotaka wewe nini au wewe ni nani kwaniwakuu wale wajuzi mtusaidie namna ya kutuma sms kama za mitandao tajwa hapo Juu, mf unamtumia mtu text labda ina someka
Hongera
Umefanikiwa Kupata Nafasi ya kusoma Nje ya Nchi
Mkuu kigezo gani mkuu kinahitajika mana wengi wnaofanya hivi ni makampuni makubwaGharama zake wanatoza kwa mfumo upi mkuu?
Wakati wa kujisajili pekee au hata kwa kila ujumbe?