Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Heshima kwako Nyamayao.
Nakubaliana na wewe kabisa kuna mambo mengine kukaa kimya huwezi hata kidogo.Kuna binti tulisomanae ndoa yake ilivunjika miaka minne iliyopita nilipomuuliza sababu akaniambia aliyekuwa mumewe alikuwa anapenda kufanya naye mapenzi kinyume na maumbile !!!!!!.
yaani cjui tunaelekea wapi.