Tumekuwa na utamaduni wa kuwapongeza na kuwasifia wakiwa wametutoka ila wakiwa hai kazi yetu ni kukosoa tu na kuwabeza!! Ila wakifa hata mkosoaji mkuu anageuka kuwa fundi wa kusifia na kupongeza, tuache hiyo tabia.
Awamu hii ya 6 chini ya Mama wa Taifa letu Dkt. Samia kaituluza nchi, nchi imekuwa na utengamano, wanasiasa wazunguka huko na kule, huku wakipata ulinzi wa Askari kumbe inawezekana! Asante sana Mama.
Kumbe inawezekana kufuata utawala wa kisheria, sasa hakuna kamatakata wala utekaji!!! ahsante sana Mama.
Kumbe inawezekana kukusanya kodi bila kutishiana au kutumia ubabe. Sasa wafanyabiashara raha mustarehe. Ahsante sana mama.
Kumbe inawezekana kutoa maoni yako bila kubughudhiwa wala kutishiwa. Wananchi sasa wapo huru kukosoa na kutoa maoni yao bila kuhofia chochote. Ahsante sana Mama.
Kwa sasa Nchi yetu imekuwa na mahusiano mazuri na Mataifa mengi na pia tunatambulika na kuheshimika kimataifa. Ahsante sana Mama kwa kutuheshimisha.
Tunakuombea kwa Mungu akupe nguvu na maarifa zaidi utuongoze hadi 2030.
Awamu hii ya 6 chini ya Mama wa Taifa letu Dkt. Samia kaituluza nchi, nchi imekuwa na utengamano, wanasiasa wazunguka huko na kule, huku wakipata ulinzi wa Askari kumbe inawezekana! Asante sana Mama.
Kumbe inawezekana kufuata utawala wa kisheria, sasa hakuna kamatakata wala utekaji!!! ahsante sana Mama.
Kumbe inawezekana kukusanya kodi bila kutishiana au kutumia ubabe. Sasa wafanyabiashara raha mustarehe. Ahsante sana mama.
Kumbe inawezekana kutoa maoni yako bila kubughudhiwa wala kutishiwa. Wananchi sasa wapo huru kukosoa na kutoa maoni yao bila kuhofia chochote. Ahsante sana Mama.
Kwa sasa Nchi yetu imekuwa na mahusiano mazuri na Mataifa mengi na pia tunatambulika na kuheshimika kimataifa. Ahsante sana Mama kwa kutuheshimisha.
Tunakuombea kwa Mungu akupe nguvu na maarifa zaidi utuongoze hadi 2030.