Tujadili Tamthiliya ya Sultan

Duuh...! basi sawa mkuu. Utanifanya niache kuicheck sasa. Si unajua tamthilia ili iwe nzuri,yule wanaemkubali wengi ni vizuri akadumu
 
Mbona niliona kama ataanza kufa mustafa,halaf suleiman ,mi naiona nzuri sanaa sultan jamani
 
no no no

Hatonyongwa sema atakua anaona shida sana kumuua pasha vile wametoka mbali

Atapanga mipango madhubuti atahakikisha kwenye mauaji yeye ajifanye hausiki lakini anahusika ambapo itampelekea hadija sultana kunywa sumu ajiue.
Hadija anampenda sana ibrahimu jamani mweeee
 
wengine wanasema itajulikana mustafa ni wa ibrahim pasha sio wa sultan, sasa sultan atajua
Hata mi nasikia hivyo ndio maana mahdevran wanapatana sana ila jana kajibiwa kuwa umenichosha na makosa yako [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuh...! basi sawa mkuu. Utanifanya niache kuicheck sasa. Si unajua tamthilia ili iwe nzuri,yule wanaemkubali wengi ni vizuri akadumu
Jamani hurrem akifa si tamthilia itaisha jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
no no no

Hatonyongwa sema atakua anaona shida sana kumuua pasha vile wametoka mbali

Atapanga mipango madhubuti atahakikisha kwenye mauaji yeye ajifanye hausiki lakini anahusika ambapo itampelekea hadija sultana kunywa sumu ajiue.
Kama nakuelewa hivi mkuu. Kunyongwa pasha naona kama hii tamthilia itakuwa haijakamilika.
 
wengine wanasema itajulikana mustafa ni wa ibrahim pasha sio wa sultan, sasa sultan atajua
Ahaahaaaa...! acha masihara mkuu. Kwamba Ibrahimu alimdokoa yule nae. Hapana sidhani
 
Ni kweli mkuu ubaya wa tamthilia hii Ni kuwa inatabirika mno yaana unawwza ukat aviri kipande kijaacho kitakuwaje hii sio dalili au sifa ya tamthilia nzuri
 
Ni kweli mkuu ubaya wa tamthilia hii Ni kuwa inatabirika mno yaana unawwza ukat aviri kipande kijaacho kitakuwaje hii sio dalili au sifa ya tamthilia nzuri

Hapana mkuu hi tamthilia ni ngumu kuitabiri

Wee ulijua kuwa alie suku ule mchezo wa kutaka kumuua gulfem ni hurem

Kila mtu alijua mahdevran alihusika kumbe wala
 
Duuh...! basi sawa mkuu. Utanifanya niache kuicheck sasa. Si unajua tamthilia ili iwe nzuri,yule wanaemkubali wengi ni vizuri akadumu

Tamthilia ni nzuri nimekwambia ili kukupa hitimisho ila kuna mengi mazuri katikati
 
Jamani hurrem akifa si tamthilia itaisha jamani[emoji23][emoji23][emoji23]

Hurem na sultan wote watakufa ila ata wakifa still tamthilia itanoga

Mind you sultan ndo atakae muuwa ibrahim pasha kama unakumbuka kuna ndoto hadija sultan aliota kwamba kaletewa kichwa cha pasha basi ile ndoto ni yakweli

Mustafa sio mtoto wa ibrahim na mustafa atauliwa na sultan mwenyewe baada ya shinikizo la hurem

Hadija sultan aka hatec atajiua mwenyewe kwa kuogopa kuuliwa na sultan kwa kudhani kuwa amemuwa hurem(sidhani kama umenielewa)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…