Tujadili simu hii mpya ya TECNO

Tujadili simu hii mpya ya TECNO

-->>UJINGA NA ULIMBUKENI NI SHIDA KWELI,HAKUNA ANAYESHINDWA KUNUNUA SAMSUNG GALAXY / BALI TUNANUA KILE AMBACHO UNAONA KITAKUFAA,KINAHIFADHI CHARGE VIZURI,KINACHOKUPA HUDUMA ZOTE ZA MSINGI NA ZIADA SAWASAWA NA SIMU ZOTE ZA ANDROID HAPA DUNIANI./
•mitaani tunakutana na choka-mbaya wengi tu,wamebeba magalaxy hasa kwenye madala-dala mara ukipanda kwa dharura ndio utashangaa..../
 
Ipo fresh mkuu ina kitanda, nyumba vyakula nk. Hutojuta mkuu
Hiyo mada inaendanda na jukwaa hili, kwanini unatoa majinu ya kipunga punga. Watu kama wewe ndio mlioharibu hadhi ya jukwaa la tech. Ningekuwa mod ningekupa BAN ya mwaka mmoja,uendezako fesibuku uka like picha.
 
Ni simu nzuri sana internet ipo faster Ram GB 4 camera megapixel 21 ni simu ya hali ya juu sana hongereni techno kwa mapinduzi ya android
Pia chaja yake ina vichwa viwil ,, kwa meno matatu na meno mawil...chaji yake inajaza haraka kuliko chaji nilizowah tumia na inakaa na chaji mno....halaf n portable ....nzur sana hii simu.....inakamera mbili nyuma moja ya kupiga nyingine inaedt hapo hapo
 
Pia chaja yake ina vichwa viwil ,, kwa meno matatu na meno mawil...chaji yake inajaza haraka kuliko chaji nilizowah tumia na inakaa na chaji mno....halaf n portable ....nzur sana hii simu.....inakamera mbili nyuma moja ya kupiga nyingine inaedt hapo hapo
Unayo mkuu, unaionaje unaifurahia? Vp speed yake
 
Unajua kwa nn Tanzania ujinga hauishi?... Ni kwa sababu ya watu Kama Hawa.. Mtu kauliza kingine afu unatoa jibu Tofaut kabisa.
Kama yule jamaa aliyemuuliza habari za namna viwanda vinavyoweza kusaidia usindikaji wa unga Wa mhogo huko kigoma, unajua Rais amejibu nini?

Amemjibu habari za mfalme wa Morocco na kilimo cha dengu. Tutaendelea saa ngapi?
 
Back
Top Bottom