ngurasu aba
Senior Member
- Jul 12, 2015
- 105
- 29
Napenda tujuzane kwa hili watanzania, mgombea mwenza wa urais kupitia ccm mh. Samia Suluhu ameahidi watajenga minara ya simu kupunguza tatizo la mtandao, hv hili swala ni la kiserikali au ndio porojo na kukosa sera? Mimi sijui ila ninashangaa.