Tujadili : Nani ni master plan wa mivurugano pale Simba?

Tujadili : Nani ni master plan wa mivurugano pale Simba?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
22,854
Reaction score
32,657
Ile slogan ya nguvu Moja naiona kabisa kuwa haiakisi uhalisia wa timu ya Makolo. Timu inagawanyika kirahisi sana ....Kila mtu yupo tayari kuitisha press conference kuzungumzia timu

Yanga Wanaslogani ya "daima mbele...nyuma mwiko lakini kuwaganya ni kazi sana .....Baada ya derby kuahirishwa....waliungana where by Hadi watoto, wazee .....vikongwe kule Mwakaleli walitamka hatuchezi.....

Back to Simba .... Mashabiki na wanachama wanataka moo asepe....
Wengine mangungu aondoke wengine body nzima
NB: it's seems Kuna kamfumo kapo pale Simba kana instigate mivurugano Kwa makolo ....Kila mwaka

Kukatoa hako kamfumo ni kazi sana ....it's like ni kama jipu limeota kwenye kichwa Cha mashine.,....ambapo either ukaushe auanfe Kwa doctor
1752308693846.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ile slogan ya nguvu Moja naiona kabisa kuwa haiakisi uhalisia wa timu ya Makolo. Timu inagawanyika kirahisi sana ....Kila mtu yupo tayari kuitisha press conference kuzungumzia timu

Yanga Wanaslogani ya "daima mbele...nyuma mwiko lakini kuwaganya ni kazi sana .....Baada ya derby kuahirishwa....waliungana where by Hadi watoto, wazee .....vikongwe kule Mwakaleli walitamka hatuchezi.....

Back to Simba .... Mashabiki na wanachama wanata moo asepe....
Wengine mangungu aondoke wengine body nzima
NB: it's seems Kuna kamfumo kapo pale Simba Jana instigate mivurugano Kwa makolo ....Kila mwaka

Kukatoa hako kamfumo ni kazi sana ....it's like ni kama jipu limeota kwenye kichwa Cha mashine.,....ambapo either ukaushe auanfe Kwa doctor View attachment 3403024

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Simba hata wakibadili uongozi ni sawa na kubadili tako tu, yaani kama ni fimbo tako moja limechapwa sana sasa wanaamua kulisogeza tako lingine ili nalo loambulie maumivu wakati lingine linapumzika.

Msimu wa 2023/24 walikuwa na Sligan "Hatumtak8 Mangungu" ikaja 204/25 baada ya maumivu kuwazidi wakaja na slogan ya "Tunajenga Timu", tunawasubiri 2025/26 tuone watakuja na slogan gani, maana hadi sasa bado wanaimba slogan iliyogeuzwa chorus ile ya "Hatumtaki Mangungu"
 
Ile slogan ya nguvu Moja naiona kabisa kuwa haiakisi uhalisia wa timu ya Makolo. Timu inagawanyika kirahisi sana ....Kila mtu yupo tayari kuitisha press conference kuzungumzia timu

Yanga Wanaslogani ya "daima mbele...nyuma mwiko lakini kuwaganya ni kazi sana .....Baada ya derby kuahirishwa....waliungana where by Hadi watoto, wazee .....vikongwe kule Mwakaleli walitamka hatuchezi.....

Back to Simba .... Mashabiki na wanachama wanata moo asepe....
Wengine mangungu aondoke wengine body nzima
NB: it's seems Kuna kamfumo kapo pale Simba Jana instigate mivurugano Kwa makolo ....Kila mwaka

Kukatoa hako kamfumo ni kazi sana ....it's like ni kama jipu limeota kwenye kichwa Cha mashine.,....ambapo either ukaushe auanfe Kwa doctor View attachment 3403024

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Changamoto humalizwa kwenye meza ya mazungumzo, na watu wenye akili timamu siyo kwa kurusha jiwe gizani
 
Simba hata wakibadili uongozi ni sawa na kubadili tako tu, yaani kama ni fimbo tako moja limechapwa sana sasa wanaamua kulisogeza tako lingine ili nalo loambulie maumivu wakati lingine linapumzika.

Msimu wa 2023/24 walikuwa na Sligan "Hatumtak8 Mangungu" ikaja 204/25 baada ya maumivu kuwazidi wakaja na slogan ya "Tunajenga Timu", tunawasubiri 2025/26 tuone watakuja na slogan gani, maana hadi sasa bado wanaimba slogan iliyogeuzwa chorus ile ya "Hatumtaki Mangungu"
Wamesahau wakati mangungu anagombea ...walimleta manzoki ...Toka uganda Ili aje kwenye campaign

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Sasa hii migawanyiko ....how come mazungumzo yanaweza kutokea?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sasa hii migawanyiko ....how come mazungumzo yanaweza kutokea?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wengine mazungumzo yao yako mezani, (viongozi), lakini wanachama ama wakeleketwa wao mazungumzo yao wanayafanya nyuma ya mikamera ndiyo maana nikasema wanarusha jiwe gizani

Wanao ongea nyuma ya mikamera ni sawa na kurusha jiwe gizani

Kwakifupi kunatakiwa wanachama wenye kuthubutu kumwambia muwekezaji akae pembeni club iendeshewe na kamati tendaji hadi hapo mchakato wa uwekezaji utakapo kamilika
 
Kutesa kwa zamu. Simba ikiimarika Yanga wanadodora kama wakati uleee Yanga anatembeza bakuli Simba alikuwa wa moto
Ila huku tunapoenda sidhani kama itatokea tena ile ya timu moja kuwa bingwa mara nane au tisa mfululizo kama anavyofanya utopolo kuanzia 21/22. Nina imani kuanzia 2031 timu zitakuwa zinabadilishana badilishana ubingwa kama zitakuwa serious kujiimarisha
 
Ile slogan ya nguvu Moja naiona kabisa kuwa haiakisi uhalisia wa timu ya Makolo. Timu inagawanyika kirahisi sana ....Kila mtu yupo tayari kuitisha press conference kuzungumzia timu

Yanga Wanaslogani ya "daima mbele...nyuma mwiko lakini kuwaganya ni kazi sana .....Baada ya derby kuahirishwa....waliungana where by Hadi watoto, wazee .....vikongwe kule Mwakaleli walitamka hatuchezi.....

Back to Simba .... Mashabiki na wanachama wanataka moo asepe....
Wengine mangungu aondoke wengine body nzima
NB: it's seems Kuna kamfumo kapo pale Simba kana instigate mivurugano Kwa makolo ....Kila mwaka

Kukatoa hako kamfumo ni kazi sana ....it's like ni kama jipu limeota kwenye kichwa Cha mashine.,....ambapo either ukaushe auanfe Kwa doctor View attachment 3403024

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ni yule Mwandishi wa Ghana wa kwenye mtandao wa X!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom