Wajinga hawa. Wasiojua lolote kuhusumpira wa miguuWamesahau wakati mangungu anagombea ...walimleta manzoki ...Toka uganda Ili aje kwenye campaign
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ni kweli mkuu...japo Simba wako well financially...na Yanga wapo the sameKutesa kwa zamu. Simba ikiimarika Yanga wanadodora kama wakati uleee Yanga anatembeza bakuli Simba alikuwa wa moto
Hapo ndo pagumuWengine mazungumzo yao yako mezani, (viongozi), lakini wanachama ama wakeleketwa wao mazungumzo yao wanayafanya nyuma ya mikamera ndiyo maana nikasema wanarusha jiwe gizani
Wanao ongea nyuma ya mikamera ni sawa na kurusha jiwe gizani
Kwakifupi kunatakiwa wanachama wenye kuthubutu kumwambia muwekezaji akae pembeni club iendeshewe na kamati tendaji hadi hapo mchakato wa uwekezaji utakapo kamilika
Yule Jr?Ni yule Mwandishi wa Ghana wa kwenye mtandao wa X!
Patamu muwekezaji ana malengo yake pia lazima pesa zake zirudi pesa hurudi unapo shinda makombe makubwana kuuza wachezaji
Amini nakuambia , siku Azam akiamua kuweka mambo yake sawasawa na yakakaa kwenye njia iloyonyooka~ Simba na Yanga itawachukua muda mwingi sana kushinda Mataji hususan ya ndani ya nchiIla huku tunapoenda sidhani kama itatokea tena ile ya timu moja kuwa bingwa mara nane au tisa mfululizo kama anavyofanya utopolo kuanzia 21/22. Nina imani kuanzia 2031 timu zitakuwa zinabadilishana badilishana ubingwa kama zitakuwa serious kujiimarisha
Eng. akishaingia kwenye majukumu ya ubunge (pengine na uwaziri) akawaachia Yanga timu inarudi kulekule kwenye kuhangaikaNi kweli mkuu...japo Simba wako well financially...na Yanga wapo the same
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app