jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,615
- 4,389
Dar kwa sasa masaa ya njian yamepungua kwa sana sehemu ya kupoteza sana maybe iwe within 1.30Lakini pia mkuu ukitoka kazini 9:30 kwa mazingira ya DSM nyumbani ukiwahi basi ni saa 11 jioni hapo ubebe matunda ukapange road hiyo ni saa 1 usiku.
Unataka kusema serikali inalipa watumishi chini ya uchumi wa kati?ππππ kwamba hata uchumi wa kati hajaingia!
Wanakula ugali wa shemejiWanaosubiri ajira wana comment wapi? Lol
Walinzi hamdaiwi na bodi taaluma yenu haihitaji elimu kubwa zaidi ya nguvuUsitusahau sisi walinzi tunaoishi Bunju na tunafanya kazi Mbagala
Ni rahisi sana kuandika mkuu lakini ukiingia kwenye utendaji sio kama unavyodhaniDar kwa sasa masaa ya njian yamepungua kwa sana sehemu ya kupoteza sana maybe iwe within 1.30
Il ile ha mqsaa matatu hapana. Kwanza hata hiyo ndefu gongo la mboto tu wanawah saiv
Kima cha juu cha mshahara kwa elimu ya juu yaani degree maana serikalini masters haina mshahara wala huajiriwi kwa masters labda vyuo vikuu.Yaani tujadili D kwa sababu gani kwani hicho ndicho kima cha chini? Hujui kuna watuwana C na wanaishi jijini?
Katavi huko ndio mtu anapanga nyumba nzima kwa 45,000/=Njoo katav uone vijana wadogo kabisa wanavyofa ya maajabu
Unakuta mwl wa kawaida tu mshahara wa chini ya 540 yako Ila amejenga na anapangisha na
Watumishi wengi wamepanga nyumba za Walimu
Nan kakudanganya kwenye vyuo vikuuu vya umma hawa payment structure ya watu wa masters?Kima cha juu cha mshahara kwa elimu ya juu yaani degree maana serikalini masters haina mshahara wala huajiriwi kwa masters labda vyuo vikuu.
Umesoma mwishoni mwa comment yangu?Nan kakudanganya kwenye vyuo vikuuu vya umma hawa payment structure ya watu wa masters?
Huyo jamaa anaye pokea around 500K kama miujiza vile kila mwezi anaonga 50k sasa sijui anawezaje survive..?TGS D ni kiwango cha mshahara kwa mtumishi mwenye shahada ya kwanza anaefanya kazi Serikali Kuu na Serikali za Mitaa (halmashauri). Baada ya makato ya PAYE, NHIF na TUCTA kiasi kinachobaki ni around Tshs. 540,000/-. Hapo sijaweka makato ya HESLB.
Sasa hapa tuijadili hii 540,000 inayobaki. Je, inaweza kuendesha familia kwa watumishi walio mjini DSM, Arusha, Mwanza, Tanga na Mbeya?
Kwa jinsi gani kiasi hiki kinaweza tosha:
1. Kulipa kodi ya nyumba
2. Chakula cha familia mwezi mzima
3. Nauli ya mtumishi kwenda na kurudi kazini hasa DSM
4. Mavazi ya familia
5. Chakula cha mtumishi akiwa kazini
6. Elimu ni bure ila kuna nauli na hela ya kula mtoto kila siku
7. Bili ya maji, umeme na king'amuzi
Leteni uzoefu hapa mnawezaje kumudu haya yote?
Karibu kwa mchango wako
Katavi hata kujenga ni gharama nafuu sana ,hata vyumba vikiwa hata chini ya hapo ni sawa mm niliwahi hata kupewa nyumba nikae bure bila hata sent 0Katavi huko ndio mtu anapanga nyumba nzima kwa 45,000/=
Nyumba haina thamani huko, huyo mwalimu aje ajenge kwa wanaume huku sinza nadhani hata pension yake haiwezi tosha kiwanja
bora wewe una ndugu si wengine tuna vidonda nduguNilisoma sheria ajira zikawa ngumu ilinibidi nijichanganye na postgraduate ya ualimu, then niliajiriwa as mwalimu 2015 , cha kwanza nilipanga karibu na kituo cha kazi tena single room nikajiapiza sitaoa na kipato hicho, no TV, gas ndogo , nilikuwa napika , then nikawa nimeunda kikundi cha kuchangiana kila mwezi laki mbili, nilikuwa wa mwisho nilipata million moja, then nikakopa million moja na nusu bank, nikanunua kiwanja na kuanza ujenzi wa chumba sebule hapo nilijenga mwaka , nilihamia humo kama ndege , then mwaka wa tatu nilianza kununua ngombe dume nawatumia watu home wanafuga, mwaka wa tano nilikuwa na madume kama watano nilipowauza nilifungua duka na kisha nikakopa milioni 1010000 then nilianza kununua mitamba na kuwapa watu kule home, Leo hii umri wangu 35 Naoa mwaka huu, Nina mashamba kwetu makubwa as mkulima mkubwa, nimejenga nyumba standard tu mjini, namiliki canter na Nina mifugo mjini ,Nina duka kubwa tu ,nasomesha watoto wangu 1 na wajomba 2 ila salary yangu ni 249000,_so pambana tu mzee utafika huo mtaji ni mkubwa
Inawezekana kabisa kuhonga hiyo 50k na akasurvive bila shida.Huyo jamaa anaye pokea around 500K kama miujiza vile kila mwezi anaonga 50k sasa sijui anawezaje survive..?
Acha dharau kijana nyumba Mzima 45,000/- hakunaKatavi huko ndio mtu anapanga nyumba nzima kwa 45,000/=
Nyumba haina thamani huko, huyo mwalimu aje ajenge kwa wanaume huku sinza nadhani hata pension yake haiwezi tosha kiwanja
Daah mbona unatutukana mkuuWanakula ugali wa shemeji
yaniHapo hapo ofsini kwenu Kuna mlinzi wenu analipwa take home
270,000, amejenga, ana mke na anasomesha watoto watano.
My take: Hakuna mshahara mkubwa Wala mdogo, Ni suala la vipaumbele vya matumizi litakalowatofautisha mfanyakazi uyu na Yule kimaendeleo
Akili hufanya kazi kulingana na changamoto uliyonayo ama vile ambavyo unataka ifanye! Mshahara ni sehemu tu ya namna ambavyo mtu anaweza kuendesha maisha yake, sio njia pekee! Kuna mmama alikuwa ananiuzia mboga mboga, ila amejenga na anasomesha mwanae Sekondari! Kupanga ni kuchagua.TGS D ni kiwango cha mshahara kwa mtumishi mwenye shahada ya kwanza anaefanya kazi Serikali Kuu na Serikali za Mitaa (halmashauri). Baada ya makato ya PAYE, NHIF na TUCTA kiasi kinachobaki ni around Tshs. 540,000/-. Hapo sijaweka makato ya HESLB.
Sasa hapa tuijadili hii 540,000 inayobaki. Je, inaweza kuendesha familia kwa watumishi walio mjini DSM, Arusha, Mwanza, Tanga na Mbeya?
Kwa jinsi gani kiasi hiki kinaweza tosha:
1. Kulipa kodi ya nyumba
2. Chakula cha familia mwezi mzima
3. Nauli ya mtumishi kwenda na kurudi kazini hasa DSM
4. Mavazi ya familia
5. Chakula cha mtumishi akiwa kazini
6. Elimu ni bure ila kuna nauli na hela ya kula mtoto kila siku
7. Bili ya maji, umeme na king'amuzi
Leteni uzoefu hapa mnawezaje kumudu haya yote?
Karibu kwa mchango wako
Wewe unamfikiriaje mtu ambaye aliamua kuoa kabla ya ajira,na baada ya miaka 6 ndo amepata ajira,kwanini asiwe na majukumu?Yaan we unaanza kazi tu unaanza kuwa na majukumu makubwa, familia watoto wanasoma etc.
Kwani mnalala vyumba tofauti?Mbeya mjini gharama za nyumba zikoje.
Zinatosha pamoja na mke?