Tujadili mshahara wa TGS D kwa watumishi wanaoishi kwenye majiji

Lakini pia mkuu ukitoka kazini 9:30 kwa mazingira ya DSM nyumbani ukiwahi basi ni saa 11 jioni hapo ubebe matunda ukapange road hiyo ni saa 1 usiku.
Dar kwa sasa masaa ya njian yamepungua kwa sana sehemu ya kupoteza sana maybe iwe within 1.30

Il ile ha mqsaa matatu hapana. Kwanza hata hiyo ndefu gongo la mboto tu wanawah saiv
 
Dar kwa sasa masaa ya njian yamepungua kwa sana sehemu ya kupoteza sana maybe iwe within 1.30

Il ile ha mqsaa matatu hapana. Kwanza hata hiyo ndefu gongo la mboto tu wanawah saiv
Ni rahisi sana kuandika mkuu lakini ukiingia kwenye utendaji sio kama unavyodhani
 
Yaani tujadili D kwa sababu gani kwani hicho ndicho kima cha chini? Hujui kuna watuwana C na wanaishi jijini?
Kima cha juu cha mshahara kwa elimu ya juu yaani degree maana serikalini masters haina mshahara wala huajiriwi kwa masters labda vyuo vikuu.
 
Njoo katav uone vijana wadogo kabisa wanavyofa ya maajabu

Unakuta mwl wa kawaida tu mshahara wa chini ya 540 yako Ila amejenga na anapangisha na

Watumishi wengi wamepanga nyumba za Walimu
Katavi huko ndio mtu anapanga nyumba nzima kwa 45,000/=
Nyumba haina thamani huko, huyo mwalimu aje ajenge kwa wanaume huku sinza nadhani hata pension yake haiwezi tosha kiwanja
 
Kima cha juu cha mshahara kwa elimu ya juu yaani degree maana serikalini masters haina mshahara wala huajiriwi kwa masters labda vyuo vikuu.
Nan kakudanganya kwenye vyuo vikuuu vya umma hawa payment structure ya watu wa masters?
 
Huyo jamaa anaye pokea around 500K kama miujiza vile kila mwezi anaonga 50k sasa sijui anawezaje survive..?
 
Katavi huko ndio mtu anapanga nyumba nzima kwa 45,000/=
Nyumba haina thamani huko, huyo mwalimu aje ajenge kwa wanaume huku sinza nadhani hata pension yake haiwezi tosha kiwanja
Katavi hata kujenga ni gharama nafuu sana ,hata vyumba vikiwa hata chini ya hapo ni sawa mm niliwahi hata kupewa nyumba nikae bure bila hata sent 0
 
bora wewe una ndugu si wengine tuna vidonda ndugu
 
Katavi huko ndio mtu anapanga nyumba nzima kwa 45,000/=
Nyumba haina thamani huko, huyo mwalimu aje ajenge kwa wanaume huku sinza nadhani hata pension yake haiwezi tosha kiwanja
Acha dharau kijana nyumba Mzima 45,000/- hakuna

Nipo huku
Na pia tumajenga kwa gharama sana

Mfano tu cement sisi 22,000/-


Sio baada ya mfumuko wa bei Toka nchi ipate Uhuru

Wewe dar 12,000/-
Tu bei ambayo nikipata hapa najenga matusi kabisa nondo 28,000/-

Tuheshimu buana
 
yani
A. alipwe 4M na B. alipwe 600k alafu useme hakuna mishahara mikubwa wala midogo 😁😁😁
 
Akili hufanya kazi kulingana na changamoto uliyonayo ama vile ambavyo unataka ifanye! Mshahara ni sehemu tu ya namna ambavyo mtu anaweza kuendesha maisha yake, sio njia pekee! Kuna mmama alikuwa ananiuzia mboga mboga, ila amejenga na anasomesha mwanae Sekondari! Kupanga ni kuchagua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…