Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
Quote:
yeye ndiye anabebaga lile koba la pesa za shopping za rais nini.....maana jk akienda lazima achukue cash BOT si chini ya dola milioni 1....imprest ....na hakirudi kitu....
...lakini sasa napata shaka na melta hoja ..inawezekana kweli jairo anapiga bao wenzake kwa kubaki na keep change za fuko la safari...lakini mnao uhakika mioyoni kwenu kuwa mnalalamika kwa uchungu mlionao kwa taifa...au mnalalamika kwa kuwa mmekosa fursa ya kubebeshwa fuko la pesa za safari za rais???
kubeba fuko la pesa la rais mtumbuaji na mpenda mabibi kuna raha yake...kwani hata yeye hawezi kukumbuka ameagiza ununue nini,kwa ajili ya nani..na kwa bei gani....,na ukirudi hakuna muhasibu mwenye ubavu wa kukulazimisha uandikie kila kitu ulichonunua ...maana it will amount to kumchimba rais....tofauti na waliokuwa wakimbebea pesa mwalimu...ambaye akijuwa anatoka nchi masikini ...alikuwa akisafiri hadi na unga wa muhogo..ili aendelee kupiga ugali...na hakuwa na haka ya kwenda mark and spenser ...zaidi ya kushonea nguo zake vibarazani..dar,sasa sijuwi ukirudi fuko limeisha ungewaambia nini wahasibu...au yeye mwenyewe asikie ameambiwa katumia pesa.....so all the time fuko la pesa za safari la mwalimu lilikuwa linarudhiswa hazina halijaguswaa......
kuna msaidizi mmoja wa mwalimu ..kwenye security entourage yake enzi hizo..the like of jairos ...alinieleza namna ilivyokuwa ngumu ...hata kumnunulia mwalimu kiatu london....mara nyingine iliwabidi wafanye ubishi tu ....wanunue..,then wanabandua lebel...kuondoa price tag....maana asingepokea kiatu cha gharama....sasa siku hizi kwa nini usijenge kama rais mwenyewe.....ananunua designers brand...newyork ...just a blazer..for up to $4,000 per pc....acha vitu vingine...na anavijua viwalo..hamjaona east african ...he is considered among the african well dressed statesman...
Mnaionaje hii wadau, kama alivyotuhabarisha Phillemon Mikael kwenye ile post ya Jairo
yeye ndiye anabebaga lile koba la pesa za shopping za rais nini.....maana jk akienda lazima achukue cash BOT si chini ya dola milioni 1....imprest ....na hakirudi kitu....
...lakini sasa napata shaka na melta hoja ..inawezekana kweli jairo anapiga bao wenzake kwa kubaki na keep change za fuko la safari...lakini mnao uhakika mioyoni kwenu kuwa mnalalamika kwa uchungu mlionao kwa taifa...au mnalalamika kwa kuwa mmekosa fursa ya kubebeshwa fuko la pesa za safari za rais???
kubeba fuko la pesa la rais mtumbuaji na mpenda mabibi kuna raha yake...kwani hata yeye hawezi kukumbuka ameagiza ununue nini,kwa ajili ya nani..na kwa bei gani....,na ukirudi hakuna muhasibu mwenye ubavu wa kukulazimisha uandikie kila kitu ulichonunua ...maana it will amount to kumchimba rais....tofauti na waliokuwa wakimbebea pesa mwalimu...ambaye akijuwa anatoka nchi masikini ...alikuwa akisafiri hadi na unga wa muhogo..ili aendelee kupiga ugali...na hakuwa na haka ya kwenda mark and spenser ...zaidi ya kushonea nguo zake vibarazani..dar,sasa sijuwi ukirudi fuko limeisha ungewaambia nini wahasibu...au yeye mwenyewe asikie ameambiwa katumia pesa.....so all the time fuko la pesa za safari la mwalimu lilikuwa linarudhiswa hazina halijaguswaa......
kuna msaidizi mmoja wa mwalimu ..kwenye security entourage yake enzi hizo..the like of jairos ...alinieleza namna ilivyokuwa ngumu ...hata kumnunulia mwalimu kiatu london....mara nyingine iliwabidi wafanye ubishi tu ....wanunue..,then wanabandua lebel...kuondoa price tag....maana asingepokea kiatu cha gharama....sasa siku hizi kwa nini usijenge kama rais mwenyewe.....ananunua designers brand...newyork ...just a blazer..for up to $4,000 per pc....acha vitu vingine...na anavijua viwalo..hamjaona east african ...he is considered among the african well dressed statesman...
Mnaionaje hii wadau, kama alivyotuhabarisha Phillemon Mikael kwenye ile post ya Jairo