Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Leo kwenye uzinduzi wa Ofisi za Wilaya ya Kigamboni, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amemuomba Mh. Rais Magufuli kwamba ampe kibali cha kuifanya Kigamboni kuwa moja ya wilaya bora hasa kwenye fursa za Uwekezaji na mengineyo
Nilitegemea humu JamiiForumS wadau tujikite kwenye kujadili HOJA na zaidi kutoa ushauri kuhusu hayo mawazo yake Makonda. Lakini kibaya na chakusikitisha sana tumeacha hoja na kuanza kumjadili Makonda binafsi.
Watanzania hasa kizazi cha leo siku hiziwamekuwa watu wakujadili majungu na sio fikra jadidi kuhusu ustawi wa Taifa letu.
Yaani sasa tumezalisha kizazi cha Roho ya korosho ambacho hakipendi kuona mtu anafanikiwa kabisa zaidi ya kuwaza mtu aharibikiwe
Charles Darwin mwanasayansi maarufu aliyepata kuvuma Uingereza karne ya 18 alipata kuhoji akili ya mtu mweusi na zaidi kwamba huenda inaulakini kwa hoja yake kuwa huwa tunafikira sawasawa?
Mark Twain naye alipata kusema hivi: Jambo linalomshangaza kuona vijana wajinga wanavyozidi kuwa wazee wajinga.
Paul Makonda, simamia unachokiamini na yote yanawezakana tu. Natumai hiyo ndoto yako ya kuifanya Wilaya ya Kigamboni sehemu ya kivutio nchini na hata nje ya Tanzania inawezekana.
Alex Fredrick,
Dar es Salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitegemea humu JamiiForumS wadau tujikite kwenye kujadili HOJA na zaidi kutoa ushauri kuhusu hayo mawazo yake Makonda. Lakini kibaya na chakusikitisha sana tumeacha hoja na kuanza kumjadili Makonda binafsi.
Watanzania hasa kizazi cha leo siku hiziwamekuwa watu wakujadili majungu na sio fikra jadidi kuhusu ustawi wa Taifa letu.
Yaani sasa tumezalisha kizazi cha Roho ya korosho ambacho hakipendi kuona mtu anafanikiwa kabisa zaidi ya kuwaza mtu aharibikiwe
Charles Darwin mwanasayansi maarufu aliyepata kuvuma Uingereza karne ya 18 alipata kuhoji akili ya mtu mweusi na zaidi kwamba huenda inaulakini kwa hoja yake kuwa huwa tunafikira sawasawa?
Mark Twain naye alipata kusema hivi: Jambo linalomshangaza kuona vijana wajinga wanavyozidi kuwa wazee wajinga.
Paul Makonda, simamia unachokiamini na yote yanawezakana tu. Natumai hiyo ndoto yako ya kuifanya Wilaya ya Kigamboni sehemu ya kivutio nchini na hata nje ya Tanzania inawezekana.
Alex Fredrick,
Dar es Salaam
Sent using Jamii Forums mobile app