bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,345
- 25,301
Wengi saikolojia ya biashara hawanaKuna mtu anakuja anaulizia bei na hanunui ukwel ulivyosema kuwa huyo ambaye hanunui ndo WA kuwa nae kalibu sababu ya kutengeneza mnyororo mwingne WA watej,, wafanya biashala weng wamekalili wateja wao ila kutengeneza namna nyingne ya kupata watej Kwa wingi wanashindwa
anaambiwa elfu kumi.
