Tujadili kuhusu Mvua, ukame, njaa na bei ya mazao

Iceta

Member
Apr 9, 2015
13
3
Mjadala wa Mvua, Ukame, Njaa, Vyakula, bei ya mazao... Tungepaswa kujifunza zaidi kuhusu "Irrigation schemes"... Kilimo cha umwagiliaji kama mabwana Kilimo wataalamu wa udongo na Mamlaka ya Hali ya hewa watusaidie kutoa majawabu. Ni kweli mvua muhimu lakini tuondoke kwenye akili za ujima twende kwenye zama Hizi..." Kilimo cha umwagiliaji"

" Serikali haijahusika kuzuia mvua" yes we know...Mnapotuambia mnatuumiza mjue wengine mazao yetu yamekauka...Na TMA wanakazia Hali ya mvua sio intact kama miaka yote.
... Nimekumbuka mwaka Fulani Mkuu moja alipokuwa south Afrika alisemaga :

BBC: kila mwaka mnasema tatizo la Umeme ni kutokana na kupungua kina cha Maji, je Kuna Mpango gani wa kuhakikisha Umeme wa uhakika?

Mkuu: Serikali hainyeshi mvua....hahahah
 
Kuna wakulima wamepokonywa pump za maji kwa kuvuta maji mtoni kwenye kilimo cha vitunguu. Wote tukifunga pump vyanzo vya maji vistahimili.
 
Nasema hivii hakuna njaa hapa! Mkuu umenunuliwa wewe..lol
na mbona bei ya vyakula inazidi kupanda hata viongozi wa maeneo kadhaa tayari wamelalamika kuwa njaa imeanza kuwakabili?

mnakumbuka kagera walilalamika njaa sana ila sasa sijui wamezimwa!
 
en
na mbona bei ya vyakula inazidi kupanda hata viongozi wa maeneo kadhaa tayari wamelalamika kuwa njaa imeanza kuwakabili?

mnakumbuka kagera walilalamika njaa sana ila sasa sijui wamezimwa!
mkuu kasema lile eneo la kijani sana, halipaswi kulalamika njaa
 
Back
Top Bottom