Tuitarajie TTCL mpya heko mheshimiwa Rais imetosha sasa kuibiwa kijinga

AIRTEL waliuziwa tu hisa za ZAIN...hawana kosa lolote lile na AIrtel nao wameinvest mtaji mkubwa sana hapo........serikali itakachofanya labda ni kununua hisa za AIRTEL ili iweze kuimiliki........AIRTEL hawana kosa lolote walilofanya
 
walioitafuna TTCL ni kampuni ya Holland MSI ambao ndio walionunua hisa za TTCL kwa bei pungufu na hiyo kampuni haipo tena imeuza hisa zake wakasepa zao
 
Nimekupenda bure, huu ndivyo jinsi upinzani unavyotakikana
 
walioitafuna TTCL ni kampuni ya Holland MSI ambao ndio walionunua hisa za TTCL kwa bei pungufu na hiyo kampuni haipo tena imeuza hisa zake wakasepa zao
Mchezo wa MSI nao ulikuwa ni deal mkuu laki si pesa TTCL imehujumiwa na watanzania tena tulio waamini kabisa na wakahakikisha TTCL inakufa na AIRTEL inainuka.
 
Mchezo wa MSI nao ulikuwa ni deal mkuu laki si pesa TTCL imehujumiwa na watanzania tena tulio waamini kabisa na wakahakikisha TTCL inakufa na AIRTEL inainuka.
ni sawa akina Mwandosya na Chenge wanahusika na hili deal.....ndio maana nikakwambia AIRTEL waliuziwa tu hisa na AIRTEL hawako Tanzania tu, wakoo nchi nyingi......TTCL walibaki na huduma ya simu za mezani zikawashida,,,nina uhakika TTCL wakikabidhiwa AIRTEL hawataweza
 

Mkuu hakuna haja ya Tume inaonekana wewe kuna kitu unaifahamu fika kuhusu Airtel wasaidie information ila isije ikawa wewe ni afisa masoko Tigo unawaonea wivu wenzio wa Airtel
 
Mmehama kwenye dhahabu (Acacia) mmekimbilia Airtel...

Kweli "Kukutana na Fisi si lazima uwe umezaliwa zamani, Bali kutembea ucku"

Mmeiokota Airtel kama mlivyookota vichwa vya train, magari bandarini.....duu, Sizonje ana bahati ile mbaya !!!
Kinachonifurahisha ni kwamba, kwenye kuokota ni lazima mkulu aokote yeye, ndio agawe majukumu.

Hivi hili la Airtel ni swala la Takwimu? Au ni mwenye bahati ameikota Airtel kwenye jengo la NBS.
 
Ngoja tuone lakin naamin mbele ya usimamiz wa Mh.rais wataweza tu ingawa sasa shida itakuja akitoka madarakani atatuachia mfumo gani madhubuti wa kusimamia mashirika ya umma kwa sababu historia inaonesha mashirika ya umma tanzania ndio ya kwanza kufa na memgine yanafuata.
 
Hivi ile week moja ya uchunguzi wa ambulance bandarini umefikia wapi? Ni karibia miezi miwili sasa.
 
Ungekuwa na subra tu ikishakuwa mpya ndo upongeze.
 
Hello nice for the constructive specifications.
 
AIRTEL iko kama ilivyo leo kwa juhudi za hao wahindi, biashara inahitaji ubunifu wa hali ya juu mkuu wangu ujue ni kitu gani wananchi wanahitaji, ujue ni promotion gani utoe ili upate wateja wapya,,,,kitu ambacho mashirika ya umma kinawashinda...........
 
wewe endelea kufikiri kuwa atatoka
 
Asipokuelewa tena nijurishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…