Yohimbine
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 844
- 1,754
Mwendazake alikua katili lakini alikua mtu mwenye kujali sana miundombinu huwezi sikia sababu za kitoto kama zinazotolewa sasa.Kuna hujuma ya Wazi hapa anzia kwenye Bwawa la Mwl Nyerere …njoo kwenye huu mgao inawezekana kuna mkubwa anataka aanzishe Kampuni ya umeme kuuzia tanesco zinatafutwa sababu watu hawaridhiki 🥲