gangsterone2010
Member
- Aug 17, 2012
- 26
- 2
PCCB na DPP wanakanganyana sana; one needs to be merged into the other, vinginevyo kuviacha kama vilivyo vinatoa hisia kwamba hata masuala la ufisadi/rushwa nayo yanahitaji 'checks and balance'
Ivunjwe haraka kama ilivyovyunjwa "Scorpion" Ya hapa kwa Madiba. Tangu scorpion ivunjwe uchumi wa RSA umekua sana. Ni hasara kwa taifa letu.Tena hii iko Ofisi ya Rais...haki ya Mungu ivunjwe haraka.We Nsololi,
Mbona unatusumbua sisi?
Hujui tuko usingizini, na saa hizi ni usiku?
Usubiri kuche bana, ndo tutaanza kufanya kazi hiyo!
Kuna wachache wanataka kusababisha uvunjifu wa amani kwa kelele kama hizo! Hawa si wenzetu, wanatumiwa!
Lakini kweli jamani...mtu mmoja kumiliki magari 149 ni halali?
Kula huku kula gani
Mnakula hata cha Yatima!
We Nsololi,
Mbona unatusumbua sisi?
Hujui tuko usingizini, na saa hizi ni usiku?
Usubiri kuche bana, ndo tutaanza kufanya kazi hiyo!
Kuna wachache wanataka kusababisha uvunjifu wa amani kwa kelele kama hizo! Hawa si wenzetu, wanatumiwa!
Lakini kweli jamani...mtu mmoja kumiliki magari 149 ni halali?
Kula huku kula gani
Mnakula hata cha Yatima!
Mtanzania, hii isipovunjwa haraka ni hatari. .....Dr E.H kama nitakuwa nimekuvunjia heshima nisamwehe ila ndo ukweli. Naamini utapata ajira kivingine.Mbona kila mara tumewasikia wakisema "mwenye ushahidi atuletee" kana kwamba tayari wako kwenye mchakato wa kumtetea mtuhumiwa....wakati mwingine ushahidi uko wazi kabisa.....cha kushangaza wao wamepewa rasilimali ya kutafutia ushahidi hawapati.......iweje yule asiye na rasilimali ndiyo awapelekee ushahidi....kama yeye ndiyo kazi yake......kama ikiendelea kufanya kazi kisiasa.....basi itaendelea kuwa taasisi ya kutetea na kudumisha rushwa....
Tukusanye ushahidi wa kuisambaratisha Takukuru. Policia wafanye kazi zao, Takukuru ya nini wakati haina meno kuwangata wezi?Ninaamini, na nitaendelea kuamini kwamba kabla ya maamuzi ya haki ya watz kuamua kuunda serikali mpya ya watu wapya, wimbo wa takukuru utabakia huohuo labda zitaongezeka chorous mpya hapa na pale.
Inshaalah , na watumie, wafiche tutawaumbua . Malawi bwana mkubwa anaaibika.
Je, sheria zetu za kupambana na rushwa haziwaruhusu PCCB kufanya haya ambayo Taasisi ya Kuzuia Rushwa nchini Malawi (ACB) wamejaribu kuyafanya???????
Bila hatua kama hizi ambazo zitasaidia kuweka precedent kwa watu watakaopewa madaraka na kujua nini kinaweza kuwatokea pindi wakifanya madudu yao na kugunduliwa tutafika kweli????????????
Ninaamini, na nitaendelea kuamini kwamba kabla ya maamuzi ya haki ya watz kuamua kuunda serikali mpya ya watu wapya, wimbo wa takukuru utabakia huohuo labda zitaongezeka chorous mpya hapa na pale.
Inshaalah , na watumie, wafiche tutawaumbua . Malawi bwana mkubwa anaaibika.
Kuna mdau mmoja katika blogu yake aliwahi kuandika makala ndefu kumuomba rais aivunje TAKUKURU kama ilivyovunjwa Scorpion ya SA ili kupunguza matumizi makubwa na yasiyo na tija kwa taifa letu...Alishauri hivyo kwani hiyo ni Taasisi ndani ya Ikulun na bado infanya madudu. Inaegemea upande wa siasa kuliko kutekeleza majukumu yake ya kiserikali.Uchaguzi ndani ya CCM uligubikwa na rushwa ya kutisha.Mbona hakuna hatua zozote zilichukuliwa na TAKUKURU?.Hawa wanakula tu
kodi za Watanzania,bora Ifutwe.
Pccb. They do what ?
Stop rushwa!
Sijui.
Mkuu Bw. Hosea ameteuliwa na Kiongozi wa CCM, wala Rushwa wakubwa ni CCM sitegemei lolote kutoka kwa Taasisi hii chini ya uongozi wa CCM.Kama kuna ofisi inayokula kodi zetu bure basi ni hawa Takukuru, sioni wanafanya kazi gani. Deep green, meremeta, Epa to mention a few lkn kimyaa kama wamemwagiwa maji vile. Siku tukiingia madaraki tutawafungulia mashtaka viongozi wote watendaji wa takukuru!!!!!