dogojanja 87
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 882
- 213
"Mapenzi ya siku hizi yameharibiwa na Mizinga,watu hawako Sure kama mpenzi wake ni Wife Material au Gold digger maana mnatugeuza sie Wazazi wenu...Vocha sisi,Shopping Sisi,na mawigi yenu ya laki 2,yesu na maria tutajenga kweli jamani nyie wamama tuoneeni huruma!Hujakaa sawa mwiba wa kulipia Dressing table.Tusipotoa mnas...ema tunawatumia,tunawat...umia vipi na raha tunapata wote jamani,wewe hata kunipa pipi ya Ivory hujawahi,mapenzi gani haya??
Inakuwa ngumu sana kupenda siku hizi maana tunaanza kuhisi kila mtu ni Mizinga Material,hata hamjui tunalipwa shilingi ngapi na waajiri wetu,mkiona tunavaa tai mnajua sie vibopa,hatuna kituuu,nyie mnaandika tu Invoice tena uso mkavu kama nguru,naomba laki 5 ya Blackberry wakati we mwenyewe babako ana nokia tochi ya muda mrefu hadi button zina mimba,Muogopeni Mungu nyie watoto,aliyewaambia bila blackberry maisha hayaendi nani??Mama Zenu wangependa Blackberry baba zenu wasingewasomesha nyie" source:facebook wall ya mshikaji
Inakuwa ngumu sana kupenda siku hizi maana tunaanza kuhisi kila mtu ni Mizinga Material,hata hamjui tunalipwa shilingi ngapi na waajiri wetu,mkiona tunavaa tai mnajua sie vibopa,hatuna kituuu,nyie mnaandika tu Invoice tena uso mkavu kama nguru,naomba laki 5 ya Blackberry wakati we mwenyewe babako ana nokia tochi ya muda mrefu hadi button zina mimba,Muogopeni Mungu nyie watoto,aliyewaambia bila blackberry maisha hayaendi nani??Mama Zenu wangependa Blackberry baba zenu wasingewasomesha nyie" source:facebook wall ya mshikaji