Mm nilidhani umekuja na ushahidi usio na shaka ndani yake ili kukanusha habari iliyotolewa kumbe umekuja kulialia tu,Pole sana bwana Kivuyo watu wamekuona na wanaendelea kukufuatilia kama bwana Naface alivyodai yy hanunuliki.Tunaendelea kusubiri Updates za bwana Naface kujua kinachoendelea!
kuniona wapi tena we kilaza,muambie huyo NaFACE aje na ushahidi wa kueleweka,mbona mnakuwa wajinga??/mnaweka namba za simu za watu hovyohovyo..pumbavuuuuu
kuniona wapi tena we kilaza,muambie huyo NaFACE aje na ushahidi wa kueleweka,mbona mnakuwa wajinga??/mnaweka namba za simu za watu hovyohovyo..