Nibozali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 572
- 1,055
Habari wakuu,
Leo nimeamua kuja na ushauri kwa Rais wangu mh Dr. Pombe M. Baada ya kuona juu ya namna viongozi aliowaamini 100% wakigeuka na kumuaibisha katika nyadhifa alizowapatia.
1. Nikianza na Makonda
Makonda ni miongoni mwa watu walioaminiwa na Rais wetu kama viongozi wachapakazi jambo lililopelekea kukabidhiwa jumkum La kuongoza jiji LA Dar
Nini ambacho Rais wangu alikosea na sasa kinamgarimu?
Mara tu Rais wangu alipomteua Makonda aliudhihirishia umma kuwa makonda ni kiongozi ambaye kwa namna yoyote hana chembe wala harufu ya uongozi mbaya kwa maana ya rushwa, uzembe uvivu. Alisikika mara kadha akimtolea mifano katika ziara zake za ndani na nje ya mkoa Wa dar. Suala hili linamgharimu kwa sasa pamoja na tuhuma chafu zinazomkabili Makonda kwa sasa zinamfanya Rais wetu aendelee kubaki kimya kwa sababu anashindwa apite njia ipi kuja kuudhihirishia umma Wa watanzania aliouaminishia kuwa kiongozi huyo hakuna kama yeye
Atawaambia nini watanzania na atattumia njia gani? Ndio maana ameendelea kukaakimya ili kuficha Aibu ambayo inaweza kuibuka.
2. Harrison Mwakembe
Huyu nae sina haja ya kueleza sana lakini kwa ufupi ni miongoni mwa watu walioaminiwa na Rais kwa masuala ya sheria lakini kinyume chake ni kama mzee huyu hakuwahi kuingia darasa LA sheria kwani anafanya ujingsujinga tu kwa nafasi aliyopewa suala linalopelekea watu kuhoji usomi wake Wa sheria.
3. Muhongo
Huyu amendelea kuwa mpiga madili kama ilivyo kawaida take
Ushauri kwa Rais
Weka akiba ya maneno pindi unapowapa motivation wale viongozi wanaokuwa wamekufurahisha kwa utendaji wao. Elewa kuwa asilimia kubwa ya viongozi tulionao ni wapiga dili, watakuaibisha kama inavyotokea sasa hivi. Wengi wanajaribu kutengeneza ukaribu mkubwa kwako ambao unasababisha ushindwe kutoa maamzi sahihi kwa kumuonea aibu au huruma kama ujanja aliotumia makonda. Pale hauna namna na hatachukua hatua zozote zaidi ya kumtetea maana ukichukua hatua sahihi dhidi yake maneno yako uliyoyasema kuhusu yeye kipindi cha nyuma yatakuhukumu
Ni hayo tu
Leo nimeamua kuja na ushauri kwa Rais wangu mh Dr. Pombe M. Baada ya kuona juu ya namna viongozi aliowaamini 100% wakigeuka na kumuaibisha katika nyadhifa alizowapatia.
1. Nikianza na Makonda
Makonda ni miongoni mwa watu walioaminiwa na Rais wetu kama viongozi wachapakazi jambo lililopelekea kukabidhiwa jumkum La kuongoza jiji LA Dar
Nini ambacho Rais wangu alikosea na sasa kinamgarimu?
Mara tu Rais wangu alipomteua Makonda aliudhihirishia umma kuwa makonda ni kiongozi ambaye kwa namna yoyote hana chembe wala harufu ya uongozi mbaya kwa maana ya rushwa, uzembe uvivu. Alisikika mara kadha akimtolea mifano katika ziara zake za ndani na nje ya mkoa Wa dar. Suala hili linamgharimu kwa sasa pamoja na tuhuma chafu zinazomkabili Makonda kwa sasa zinamfanya Rais wetu aendelee kubaki kimya kwa sababu anashindwa apite njia ipi kuja kuudhihirishia umma Wa watanzania aliouaminishia kuwa kiongozi huyo hakuna kama yeye
Atawaambia nini watanzania na atattumia njia gani? Ndio maana ameendelea kukaakimya ili kuficha Aibu ambayo inaweza kuibuka.
2. Harrison Mwakembe
Huyu nae sina haja ya kueleza sana lakini kwa ufupi ni miongoni mwa watu walioaminiwa na Rais kwa masuala ya sheria lakini kinyume chake ni kama mzee huyu hakuwahi kuingia darasa LA sheria kwani anafanya ujingsujinga tu kwa nafasi aliyopewa suala linalopelekea watu kuhoji usomi wake Wa sheria.
3. Muhongo
Huyu amendelea kuwa mpiga madili kama ilivyo kawaida take
Ushauri kwa Rais
Weka akiba ya maneno pindi unapowapa motivation wale viongozi wanaokuwa wamekufurahisha kwa utendaji wao. Elewa kuwa asilimia kubwa ya viongozi tulionao ni wapiga dili, watakuaibisha kama inavyotokea sasa hivi. Wengi wanajaribu kutengeneza ukaribu mkubwa kwako ambao unasababisha ushindwe kutoa maamzi sahihi kwa kumuonea aibu au huruma kama ujanja aliotumia makonda. Pale hauna namna na hatachukua hatua zozote zaidi ya kumtetea maana ukichukua hatua sahihi dhidi yake maneno yako uliyoyasema kuhusu yeye kipindi cha nyuma yatakuhukumu
Ni hayo tu