Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Jana nililala kwa huzuni sana.
Wale wa kazi wa Mbezi Tangibovu to Rainbow walioona hii ajali naamini kama mzazi wamesikitika sana.
Kijana mmoja akitokea Tangibovu Puma kwenda Rainbow
Alipopita Junction akaona pikipiki zinaenda polepole azipitea, akakuta gari moja inatoka Rainbow kwenda Tangibovu kijana nahisi alishapata maji ya baraka pale Ilalaa, akaliingiza gari mtaroni na speed yake ya schumaker akatoka dirishani.
Hamadi gari ikazunguka na kupitia kichwa chake ubongo ukamwagika na kupoteza maisha.
Kwa mara ya kwanza jana nimewaheshimu sana Madaktari mnasomea vitu hatari sana
Yaani vitu vilivyotoka kichwani huwezi amini vyote vinaenea kule ndani.
Tujitahidi kufunga mkanda jamani Desemba haijakamilisha mahesabu yake. Tuwe makini sana sana
Poleni wafiwa wote kijana amekufa mdogo wazazi wakitarajia makubwa juu yake huko mbeleni
R.I.P Bro.
Wale wa kazi wa Mbezi Tangibovu to Rainbow walioona hii ajali naamini kama mzazi wamesikitika sana.
Kijana mmoja akitokea Tangibovu Puma kwenda Rainbow
Alipopita Junction akaona pikipiki zinaenda polepole azipitea, akakuta gari moja inatoka Rainbow kwenda Tangibovu kijana nahisi alishapata maji ya baraka pale Ilalaa, akaliingiza gari mtaroni na speed yake ya schumaker akatoka dirishani.
Hamadi gari ikazunguka na kupitia kichwa chake ubongo ukamwagika na kupoteza maisha.
Kwa mara ya kwanza jana nimewaheshimu sana Madaktari mnasomea vitu hatari sana
Yaani vitu vilivyotoka kichwani huwezi amini vyote vinaenea kule ndani.
Tujitahidi kufunga mkanda jamani Desemba haijakamilisha mahesabu yake. Tuwe makini sana sana
Poleni wafiwa wote kijana amekufa mdogo wazazi wakitarajia makubwa juu yake huko mbeleni
R.I.P Bro.