Tufanye nini kuwasaidia wanaojiuza?

Tufanye nini kuwasaidia wanaojiuza?

Amiry makoye

Member
Joined
Feb 7, 2015
Posts
12
Reaction score
3
Kwakuwa dada zetu wanauza mwili kwa madai ya kwamba ajira hakuna na maisha ni magumu, na hiki kitu serikali ya Tanzania inakipiga vita.

Je! Kuna njia mbadala ya kuwasaidia hawa madada ili wasiendelee na biashara hii!?
 
Waachane na biashara za ngono, wafanye biashara za kawaida.

Binafsi nina biashara ambayo ningependa kuwajumuisha,wakiizingatia itawalipa vizuri tu.
 
Cataliyya
Hawawezi kuacha because they are ready addicted
 
Last edited by a moderator:
Wanapga ela nying kulko unavyofkria wew utashndwa kuwalpa tu!
 
Back
Top Bottom