Tufanye nini kupendeza?


ha ha ha tena kama disco light.
 

huyo wa kwanza kanivutia hata mi huwa napaka hivyo
 
picha ya kwanza imepigwa mitaa ya kemondo-bay kwa akina KOKU nini teh teh teh
 
huyo wa kwanza kanivutia hata mi huwa napaka hivyo

Huyo bado hajamaliza kuvaa maguo yake... Ni clown huyo... Hapo bado makofia makubwa na fimbo.. Yaani kama Joker kwenye karata linavyochorwa!

Kwa hiyo hapo anamalizia aende fete....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…