Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,369
- 15,110
Hii Miaka 10 inatosha sasa, tufanye kila tuwezalo, tumzuie huyu jamaa asituchagulie Mrithi wake, hii itakuwa ni kupoteza miaka mingine 10 ijao kama tulivyopoteza hii iliyopita!
Piga, Ua Garagaza huyu Jamaa ikiwezekana hata vidole vyake tuvikate lakini tusithubutu Tumpe nafasi ya kutuchagulia Ajaye...
Piga, Ua Garagaza huyu Jamaa ikiwezekana hata vidole vyake tuvikate lakini tusithubutu Tumpe nafasi ya kutuchagulia Ajaye...