Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,035
Lissu atauawa kwa michango yenu ya jero jero.Kubalini mlikosea sana kukataa matatibabu ya serikali kwa kisingizo cha kuwa atauawa.
Sasa hivi hali imekua ngumu,mgonjwa anahitajika kusafirishwa nje,uwezo wa madaktari wa kenya umefika ukomo,bili inazidi kupaa,badala ya hata mkakope benki au mtumie ruzuku kumpeleka ughaibuni,mnafanya siasa
yani CCM mnalazimisha mgonjwa aliyekuwa anakaribia kufa apelekwe muhimbili kusubiri aandikiwe rufaa ndiyo aende nje ya nchi??
MaCCM mission yenu ya kummalizia Lissu muhimbili tuliibaini na tukampeleka Nairobi kwa jero-jero zetu na soon tutampeleka USA kwa hizo jero-jero zetu, kwa sasa tunasubiri tu madokta wa Nairobi watoe recommendations.
CCM ni wauwaji na mmeshindwa juu ya hili ndiyomaana mmetaharuki.