KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,181
- 17,174
Kwa hiyo wao na wewe hakuna mwenye nafuu? Wote mambo yenu ni yale yale? Usipokuwa kama wao utapungukiwa nini?Kwangu adui wa kwanza ni mwanaccm , sijashiriki misiba yao mtaani kwangu huu ni mwaka wa 3 sasa , halafu wao pia wanafahamu kwamba sishirikiani nao kwa lolote , na namuomba Mungu aendelee kunipa ujasiri wa kuwatenga zaidi
Magufuli anataka hivyo, endeleeni kumuunga mkono.Waungwana wa JF nimeona niandike haya baada ya kutafakari sana juu ya ninachokiona sijui na wenzangu kama mnaliona hili, Kwa uelewa wangu siasa si chuki, ugomvi, hila, visasi ila siasa ni hoja, mwenye hoja humshinda asiye na hoja au mwenye hoja hafifu. Ikubukwe sote ni watanzania ingawaje tunatofautiana tu itikadi za vyama. Sasa naona kama kuna kachuki kanajengeka kati ya chama tawala na upinzani. Imekuwa kama ni uadui, wa upinzani anaanza kumchukia wa chama tawala wa chama tawala anamchukia mpinzani. Mimi nimeliona hili hata humu JF. Kwa mwenendo huu Nchi yetu hatutafika kabisa tunakoelekea sio kuzuri utofauti wa vyama usituletee utengano na chuki baina yetu. Sisi ni watoto wa Baba na mama mmoja nao ni TANZANIA. tuishi kwa kupendana.
Upinzaninwa kisiasa upo kisheria kulingana na katiba. Yanayoendelea ni uhalifu na ni kinyume cha katiba iliyopo. Inasikitisha kuwa na "unyani" wa kiwango hili katika kipindi hikiKuna meseji juzi imetumwa na JK akiwa mgeni kwenye mkutano wa Yanga..Narudia hivi ukisha kuwa kiongozi ata kama unataka A na kuna watu wa B lazma wote uwachukulie sawa maana sote ni watanzania. Mwenzenu anasema iweje umtangaze mpinzani,iweje upeleke maendeleo kwa mpinzani,iweje nishirikiane na wapinzani. Apo hua napata mashaka na kuuliza hivi kweli huyu ni damu ya Tanzania?
Wamechochea nini tuwashauri waache?Chadema ndiyo wachochezi nchi hii
utakuwa makengeza wewe🙄Mie naona sawa tu
Ni utaratibu wenye baraka kwa mwanadamu kujitenga na dhambiKwa hiyo wao na wewe hakuna mwenye nafuu? Wote mambo yenu ni yale yale? Usipokuwa kama wao utapungukiwa nini?
Ni utaratibu wenye baraka kwa mwanadamu kujitenga na dhambiKwa hiyo wao na wewe hakuna mwenye nafuu? Wote mambo yenu ni yale yale? Usipokuwa kama wao utapungukiwa nini?
Chuki hiyo chanzo chake ni nini au ni nani?Chuki hiyo si njema sana. Ukiwa CCM kuna ndugu yako yuko ulinzani na Ukiwa upinzani kuna ndugu yako yuko CCM. siasa isitutenganishe, siasa za Chuki hazina tofauti na udini, ukabila au ubaguzi wa rangi. Tusifike huko.
Wamechochea nini tuwashauri waache?
Muasisi wa chuki hizi anajulikana na atabeba lawama zote. Mungu hadhihakiwi.Waungwana wa JF nimeona niandike haya baada ya kutafakari sana juu ya ninachokiona sijui na wenzangu kama mnaliona hili, Kwa uelewa wangu siasa si chuki, ugomvi, hila, visasi ila siasa ni hoja, mwenye hoja humshinda asiye na hoja au mwenye hoja hafifu. Ikubukwe sote ni watanzania ingawaje tunatofautiana tu itikadi za vyama.
Sasa naona kama kuna kachuki kanajengeka kati ya chama tawala na upinzani.
Imekuwa kama ni uadui, wa upinzani anaanza kumchukia wa chama tawala wa chama tawala anamchukia mpinzani.
Mimi nimeliona hili hata humu JF. Kwa mwenendo huu Nchi yetu hatutafika kabisa tunakoelekea sio kuzuri utofauti wa vyama usituletee utengano na chuki baina yetu.
Sisi ni watoto wa Baba na mama mmoja nao ni TANZANIA. tuishi kwa kupendana.
Kwangu adui wa kwanza ni mwanaccm , sijashiriki misiba yao mtaani kwangu huu ni mwaka wa 3 sasa , halafu wao pia wanafahamu kwamba sishirikiani nao kwa lolote , na namuomba Mungu aendelee kunipa ujasiri wa kuwatenga zaidi
Mimi hata tukikuta bar huwa sipendi mazoea nao kabisa hao manyang'auKwangu adui wa kwanza ni mwanaccm , sijashiriki misiba yao mtaani kwangu huu ni mwaka wa 3 sasa , halafu wao pia wanafahamu kwamba sishirikiani nao kwa lolote , na namuomba Mungu aendelee kunipa ujasiri wa kuwatenga zaidi