Elections 2010 Tuelezwe juu ya afya ya Rais Kikwete!

ina maana wameidiliti kabisa?? au na wamepeleka details big brother??

nieleweshe

Ile mada imefichwa... zile picha na video za Kikwete akianguka zinatolewa na mods wa hii forum. Labda kuna sababu nzuri ya kufanya hilo lakini mimi sijaelewa kabisa.
 
Ile mada imefichwa... zile picha na video za Kikwete akianguka zinatolewa na mods wa hii forum. Labda kuna sababu nzuri ya kufanya hilo lakini mimi sijaelewa kabisa.

SD,

Hii mada ya Kikwete kuanguka jangwani itarudi karibuni kwa kasi na nguvu mpya. Kuna habari za ndani kuwa Kikwete ameanguka ikulu zaidi ya mara moja

Stay tuned
 
SD,

Hii mada ya Kikwete kuanguka jangwani itarudi karibuni kwa kasi na nguvu mpya. Kuna habari za ndani kuwa Kikwete ameanguka ikulu zaidi ya mara moja

Stay tuned

Jamaa spana mkononi kweli kweli! Wanaficha wanaficha ngoja waje waabike hebu check hiyo dozi kwenye glass yake


attachment.php
 

Attachments

  • Glass.jpg
    Glass.jpg
    40.7 KB · Views: 396
Welcome back Rev, hivi ni vitu tulivyomiss ulipokuwa jela ya JF.

We mchunguzi kweli.... ha ha ha

 
Welcome back Rev, hivi ni vitu tulivyomiss ulipokuwa jela ya JF.

We mchunguzi kweli.... ha ha ha


Chemistry nimesoma kwa kiwango kikubwa hayo si maji! Ni either ndumba ama tiba mbadala mtu anahutubia kwani anabeba zege awe anasip sip kila wakati?

attachment.php
 
Chemistry nimesoma kwa kiwango kikubwa hayo si maji! Ni either ndumba ama tiba mbadala mtu anahutubia kwani anabeba zege awe anasip sip kila wakati?

attachment.php

Ha ha ha ha,

Inabidi hii picha tuianzishie thread yake....hata kama itakaa kwa masaa mawili tu kabla painkiller na silencer hawajaiondoa.
 
Bila hiyo glass hawezi kusimama bila kula mwereka! Adumu Sheikh Yahaya!

attachment.php
 

Attachments

  • glass2.jpg
    glass2.jpg
    51.7 KB · Views: 250
WanaJF:
Mwenye updates kuhusu topic hii? Uchaguzi ndo wakartibiua na Watanzania wengi wana shauku kujua hali ya mgombea huyu kwani wengi wanaogopa kumchagua mtu mgonjwa kuwa rais wao. Isije ikawa kama ya Nigeria! Nilisikia juzi kwamba huko mkoa wa Lindi JK alitaka kuanguka tena jukwaani lakini wapambe wakawahi kumdaka.

Jamani msifanye jambo hili kuwa ni siri -- tujuzeni mwenye updates.
 
Back
Top Bottom