IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,462
- 7,381
Wadada tujuzane kuhusu hili.
Nikimwambia mpnz wangu anenepe(anakunja sura kuonyesha kutokubaliana na ninalosema)na kuanza kusema eti mbona kanenepa sana siku hizi,nikijaribu kumng'ang'aniza anarusha mawe.
Akiniona nasalimiana ama kuongea na mwanamke mnene_anasema unapenda niwe kama huyo mdada,na mm kwa kujua ananitega naamua kupotezea,..life goes on
Leo niko hapa kibaruani kwangu,nimekutana na dada ambaye ninafanya nae kazi na ni rafiki yangu(hakuwepo kwa almost 1 month)nimemwambia amenenepa kaja juu/kakasirika kimtindo.....nikakumbuka yale yaleeeee ya kwa mpnz wangu.
My take:Hivi dada zetu mbona hampendi sana kunenepa/kuambiwa mmenenepa?.
Nikimwambia mpnz wangu anenepe(anakunja sura kuonyesha kutokubaliana na ninalosema)na kuanza kusema eti mbona kanenepa sana siku hizi,nikijaribu kumng'ang'aniza anarusha mawe.
Akiniona nasalimiana ama kuongea na mwanamke mnene_anasema unapenda niwe kama huyo mdada,na mm kwa kujua ananitega naamua kupotezea,..life goes on
Leo niko hapa kibaruani kwangu,nimekutana na dada ambaye ninafanya nae kazi na ni rafiki yangu(hakuwepo kwa almost 1 month)nimemwambia amenenepa kaja juu/kakasirika kimtindo.....nikakumbuka yale yaleeeee ya kwa mpnz wangu.
My take:Hivi dada zetu mbona hampendi sana kunenepa/kuambiwa mmenenepa?.