Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Shida mna kaa dar hamuwezi kuvipata vitu hivyoFather nina hamu na nyama ya mbawala
Nimemmisi mnyama digidigi (dik-dik), na swala (antelope).
NimekumalizaHapo kwenye swala😋
Je, ngiri a.k.a Kasongo yeeyee unamchima?Digi dig nishamkinai wapita wengi sana hapo ni mchanganyiko wa swala na tandara Pyaar
Acha kabisa mkuu.Nimekumaliza
Ni zaidi ya 3kg sema nimeita watu kidogo tushareDah..... napenda sana nyama pori ... sana sana swala ,dofu na digidigi... ukikuta mchomaji mzuri unakula balaa !
Hio Nyama kwa haraka haraka ni kama 3kgs, unamaliza yote ama mpo team 😊 😃
Hapo kwenye 🍷 umepatia sana, inasaidia mmeng'enyo
Huyo sijawai mla naonaga wengine wanakula hila huyo punda twiga sijawai kuwala na sijawai washobokeaJe, ngiri a.k.a Kasongo yeeyee unamchima?
Huyu mnyama nakali sana nyama yake.
Cc Dr am 4 real PhD Monetary doctor
Hahaha mjini kuchakalika 🤣Umetisha chief
Uko na walami nini?
Ujaja tuAcha kabisa mkuu.
Nimekucheck kuleUjaja tu
nakubali...big up sanaHahaha mjini kuchakalika 🤣
Dah, ni mtamu kama nguruwe aise 😋Huyo sijawai mla naonaga wengine wanakula hila huyo punda twiga sijawai kuwala na sijawai washobokea