MWANAJAMIA
Member
- Oct 21, 2016
- 47
- 45
*Looku Looku*
NAOMBA UVAE MBAVU ZA SPEA
*_Mnyakyusa mmoja aliwaalika watu katika mazishi ya mama yake. Baada ya kushusha jeneza wakatia ndani ya kaburi viazi, mchele na kuku kadhaa. Mhaya mmoja_* *_akauliza, 'Vya nini hivyo?_*
*_Akaambiwa, 'Wafu huenda safari ndefu sana, hivi atakula njiani_*
*_Mhaya akazama kwenye wallet, akatoa laki 2, akaidondoshea akisema, 'vikiisha hivyo atanunua vingine'. Mkurya mmoja akadondoshea laki moja akasema,_* *_Isipotosha ataongezea hii_*
*_Mchaga akatoa cheque book, akaandika cheki ya laki 5, akachukua ile laki 3 kwenye kaburi na kuacha_* *_cheki akisema, 'bora ukachukue hela mbele ya safari kwa cheki_* *_Vibaka wasijeWAKAKUUA buree
*_Shikamoo_* *_wachaga!_*

*Mniache tuu*
haya sasa kuchekana
Ukabila mwisho mara 1��

NAOMBA UVAE MBAVU ZA SPEA
*_Mnyakyusa mmoja aliwaalika watu katika mazishi ya mama yake. Baada ya kushusha jeneza wakatia ndani ya kaburi viazi, mchele na kuku kadhaa. Mhaya mmoja_* *_akauliza, 'Vya nini hivyo?_*
*_Akaambiwa, 'Wafu huenda safari ndefu sana, hivi atakula njiani_*
*_Mhaya akazama kwenye wallet, akatoa laki 2, akaidondoshea akisema, 'vikiisha hivyo atanunua vingine'. Mkurya mmoja akadondoshea laki moja akasema,_* *_Isipotosha ataongezea hii_*
*_Mchaga akatoa cheque book, akaandika cheki ya laki 5, akachukua ile laki 3 kwenye kaburi na kuacha_* *_cheki akisema, 'bora ukachukue hela mbele ya safari kwa cheki_* *_Vibaka wasijeWAKAKUUA buree
*_Shikamoo_* *_wachaga!_*

*Mniache tuu*
haya sasa kuchekana
Ukabila mwisho mara 1��