Udhaifu wa Kikwete ndio unafanya rasilimali zetu ziibiwe na serikali ishindwe kutimiza wajibu wake ikiwemo kuwalipa madaktari mishahara stahiki; hivi leo kama zingerudishwa hizo fedha walizotuibia na kuzificha huko nje ;je tungeshindwa kuwahudumia wananchi wetu kama wanavyostahili?Inakuwaje kwanza mpaka serikali inaachia fedha nyingi namna hiyo zinaibiwa, kama sio mipango wanayoisuka wao wenyewe?