Unaijua natha?
Zipo za wahuni japo ni chache, una kipindi mpaka msafara fulani uliwahi kuwekewa mafuta yakubumba, well zinaweza zikawa ni hadithi za elfu lela ulela ila kwenye wema na wajinga wapo piaMimi ninavyofahamu ni kwamba mafuta yote huagizwa pamoja, Sasa vipi nasikia Kuna sheli zinatoa mafuta masafi na yingine zinatoa mafuta machafu? kuna ukweli kuhusu jambo hili au ni maneno tu?
Acha uwongo mkuu maji hayachangamani na mafuta .Ninavyojua mimi kuna baadhi ya gas station huweka maji kwenye mafuta, na kuna gas station nyengine unalipia laki 1 lakini wanaweka mafuta ya 70,000. Hapa hucheza na pump ya mafuta sijui hufanya vipi.
Ndukiiiii